Katika lile swala la ETI HATA PICHA ya kificha nyeti INAPAYUKA ZAIDI hata kuhusu doa la mkojo kuliko MANENO!:-(
>> Friday, November 12, 2010
Kwa LUGHA ya  kiwanzabanga utasikia inadaiwa `` PICTURES speak louder than WORDS´´.
Ikumbukwe tu kuwa,....
....au isisahaulike tu PIA kuwa PICHA hizo hizo  katika KUPAYUKA zaidi ,...
.... yaweza kuwa INANENA  zaidi UONGO kuliko hata maneno,.....
..... kwa hiyo  labda hata picha zako hasa zile uzipendazo sana ,....
.... ndizo zaweza kuwa  ZINAPOTOSHA zaidi  kuhusu UZURI wa mtu  ni TANI ngapi katika saizi YAKE  ya PUA kiuwiano wa MAPANA na MAREFU ya USO  WA MTU  bila kusahau MASIKIO kama UNGO yenye matundu kama kijambio cha kuku.:-(
Swali tena zaidi kiduchu:
- Unauhakika unafanana na picha zako uzipendazo au ni KWELI picha uzipendazo zimezidisha kidogo kuliko HALI HALISI mvuto wako kiuzuri hata katika kusaidia BAADHI YA watu kuingia dhambi kwa kukutamani angalau kukubaka?
NI WAZO TU HILI MHESHIMIWA !:-(
Hebu tucheki basi MWAYEGO angalau PICHA ziwezavyo kuongea kwa SAUTI halafu tusiwe na jibu moja zinaongea nini.........
Hii nimeitoa kwa Muzee wa RUNDUGAI   hapa
  ....ambayo kuna waonao FOOTBALL na waonao mtu akikaguliwa Nyama ya BATA.:-(
Na hii ambayo kuna waonao zaidi ya sura ya KIGOLI mwanana katika UPAYUKAJI wa PICHA.:-(
Ndio,...
....ukizingatia inasemekana BLOGU ZA PICHA ndio maarufu zaidi kwa WATANZANIA wafuatiliao BLOGU za WATANZANIA,....
...... jihadhari na UONACHO ,...
..... usije ukaanza kuchanganya UPAYUKAJI WA PICHA za CHOO KICHAFU cha IKULU  na hali halisi ya  jinsi choo kilivyo kichafu IKULU baada ya WAHESHIMIWA kutoka CHOONI!:-(
Hebu Mheshimiwa Rais Ali HASSAN MWINYI ashushe kitu...
Mheshimiwa Ridhiwani Kikwete ashushe kitu...
Au tu na Waheshimiwa Freeman MBOWE na Dr W. SLAA washushe kitu...
 
  
 Posts
Posts
 
 






0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Post a Comment