Katika KUPANDISHA JAZBA utupu!:-(
>> Sunday, November 14, 2010
UTUPU nishai,...
...kwa kuwa UNAWEZA kujazia au KUJAZWA .:-(
Na labda wa KIBONGE ,...
....utupu wake NISHAI,...
...kwa kuwa LABDA ndio ufanyao mpaka  kuna MTU afuataye mpaka DINI ili katika utupu wake maishani KWA DINI  hata ya KIPAGANI ajaze kama vile HATA  maishani kutojamba mbele za wageni kwa kuwa labda hiyo ni USTAARABU,...
.... au  tu HESHIMA ingawa  bado LABDA ni kweli  YOTE HIYO ni  katika TU ni shughuli GANI tu,...
.....katika KUJAZA kuna  mpaka  kujazia MAISHANI ,...
.....utupu KUJAZWA.:-(
Utupu.....!:-(
Swali
- Si unajua VITU labda sio kweli ndio TATUZI la kujazia kitu MAISHANI?
- Si unajua utupu inawezekana kuwa ni UCHI ambao labda nao kikukuna kipele labda nao kimafanikio YA NGONO YENYE UZINZI BABU KUBWA kivitendo kuna watakao ridhika kama utajaziwa au KUJAZWA hata kama ni KI- vifananavyo na UTOKO wa MBWA malaya mtaani?
Ndio,...
....labda hata SIASA kwa mwanasiasa  ni KIJAZIA utupu tu MAISHANI kwa mtu,...
.... ndio maana kuna wanasiasa Wazee ambao mchango wao ni ZIRO bado unaona hawataki kuacha ofisi kwa kuwa bila KUWA OFISINI watajisikia WATUPU.:-(Ni wazo tu hili MHESHIMIWA!:-(
Hebu Manu DIBANGO na YOUSSOU N'dour waingilie kati ujinga na kubadili ndude kwa -Soul MAKOSSA
Canibus ,Youssou N'Dour na Wyclef Jean wadinye- How COME
Au TU Angelique Kidjo na Youssou N'dour walete beleshi-SET
Kuna baadhi ya picha na WADAU ambao hawakunitenga JANA ya JUZI ya leo yake....
Asanteni WADAU wote!
TUKO PAMOJA!
 
  
 Posts
Posts
 
 







2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
...Fuga ndevu basi!....mie nilidhani wewe ni "DEMU" dahh! mtihani kweli!
@ Anony..:kOMENTI YAKO NI Matusi hayo lakini ingawa labda ni KISTAARABU.
Kwa hiyo unataka kusema mimi ni mzuri KISICHANA hivyo wakati watu huniita RASTA na nijiteteacho matra nyingi NI kwamba mie sio RASTA?
Weka jina LAKO basi siku nyingine ukiwa na NYEGE ya KUKOMENTI kwenye BLOGI ,....
....kwa kuwa NYOKO saa nyingine huwa pana saa nyingine ukijua ni nani atukanake NYOKO ksma tu KUMAMAYE!:-(
AU?
Post a Comment