Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama MWALIMU NYERERE angeanzisha dini kwa WATANZANIA halafu akawa HAYATi!

>> Sunday, April 27, 2008

Naogopa dini!

Dini kiboko!
Inaweza kukusababisha ukashinda njaa kwa ahadi ;utafaidi mbinguni, lakini bila kuwa na uhakika utafaidi nini AHERA , halafu ukashinda njaa.

Dini kiboko!
Inaweza kukusaidia kusamehe jamaa alivyo kunanihii.
Inaweza kukufanya uende vitani kuua kwa chuki ILI kuhakikisha kuwa MUNGU wa UPENDO na AMANI hadharauliwi.

Dini Kiboko!
Ukichacha unaweza ukaokoka ili kubana matumizi halafu ukajikuta umeokoka kikweli.
Hebu tu ANGA lie.... jinsi VOODOOO a.k.a VUDU ikimuingia MWenyEuke mdogo a.k.a.BINTI... ..


Kama wewe MTANZANIA halafu unaangalia mapungufu, utakuwa na uhakika kuwa hata wajifanyao wanafuata nyayo za NYERERE, wanaangalia TV.

Kama wewe unaangalia MAPUNGUFU,Mwalimu Julias KAMBARAGE angeanzisha dini halafu MWENYEZI ALLAH akamchukua, naamini, ungeweza ukajifunza kwanini fikira zake za MUUNGANO wa TANGANYIKA na ZANZIBAR mpaka leo tunajadili kwa kutumia hesabu kama TANZANIA =TANGANYIKA-ZANZIBAR au TANZANIA = TANGANYIKA+ZANZIBAR

Swali:

  • Hivi unakumbuka UJAMAA ni NINI?
Ukiwa MTANZANIA na unakumbuka MwALIMU KAMBARAGE aliyofanikisha, unaweza hata kukumbuka kuwa hujui jirani yako kabila gani na uliwahi kumuomba chumvi , maji, au kumchekea kwa KISWAHILI.

SWALI:
  • Kama kiswahili ni bomba, mbona ukiwa na pesa unataka kumpeleka mwanaTOTO shule ya INGRISH mediumu.
  • Hivi bado kama shule ni bomba walimu wa KIiNGRISH va INDI au wanatoka Uganda eeh?
DUH!
Hebu turudi kwenye ZE Mwalimu Nyerere akianzisha dini au kwenye dini tu....

Twende KENYA kupata DINI fulani kiduchuuu,...
Usije ukawa unaogopa MUNGIKI tu kati ya dini kadhaa milioni fulani lakini!
Kwani dini yako haija KUTISHA kumtamani au kutamani?


Naogopa DINI!

DINI inaweza ikafanya uogope tu au uogope kitu fulani wenzio wafanyacho ingawa kisiri unatamani MWENZIO alivyo BINYA au KUtomasa NYANYA fulani.

Dini nyingine unaweza kutubu lakini!:-)
AU?

Now I am depressed!:-(

Nataka kuanzisha dini lakini!

Hebu tuwasikilize WAKRISTO fulani walioKUWA na uhakika OPRAH WINFEY kaanzisha dini....

DUH!
Naogopa DINI ingawa nikianzisha moja ya dini fulani, unaweza kujikuta unaifuata kutokana na kwamba kuna KILAJI, mboga ya mchicha na NYAMA ya PaKA kwenye jumba la IBADA!:-(

USITISHIKE!
NAWAZA TU!

Hebu tumsikilize tu MANU DIBANGO atukumbushe kengele za kanisa fulani katika wimbo NEW BELL
(Hard Pulsation)

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP