Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NAJARIBU KUSAHAU kuwa NA MINYOO!

>> Friday, April 04, 2008

Ni kweli ulichosikia.
Wanikumbusha kwa nini?

Najaribu kutoangalia.
Unanionyesha kwa nini?


Ndio, inanuka na kunukia....
Mguso pia naustukia....
Huzuni, furaha na mashaka pia...

Najaribu kusau
....ladha chachu na chungu pia

Sitaki kusahau
......ladha tamu, kuumizwa sina nia

Najaribu kusahau!
Unanikumbusha kwanini?
-------------- -----------------

DUH!

Elewa uelewavyo hapo juu!
Nitapotea kidogo kwa siku kadhaa hapa kijiweni.
Hizi siku kadhaa ambazo hamtanisikia, nahisi wengine mtaenda kusali na kuswali.
Ngoja nikuache Ahmet Ozhan akija na miondoko ya Wasufi katika wimbo wa swala

DUH!
Ngoja nikuache tu pale Congo kanisani pia upate huu wimbo wadini uitwao KUMAMA YAHWE

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP