Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

SAMAHANI! Nawakimbia tena wadau wa BLOGU HII kidogo!:-(

>> Tuesday, April 22, 2008

Samahani wadau wa blogu hii!
Nimebanwa kidogo, kwa hiyo , saundi haitoki stirio....

Lakini nafikiri kuanzia Ijumaa hii , pilau inaweza kunukia tena hapa kijiweni kama kawaida.
Au ngojea niseme.....


SASAA endelea kidogo tu na Lagbaja ambaye ndio baada ya FELA Kuti, katika AFRO BEAT, ananisaidia katika SUKUMA TWENDE wiki hiii, angalau katika wimbo FEYIN E.......akisisitiza utabasamu au kucheka hata kama nanihii ngumu:-(




DUH!
Au unaweza kujifunza kucheka au kutabasamu kitu kutoka kwa mchekaji huyu...

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Aliko 12:19 pm  

Kababu kanacheka man duu..

Simon Kitururu 3:27 am  

@Aliko:Siutani!:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP