Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuna WAFURAHIO na kusikia raha kwa KUKUNA KIDONDA!

>> Friday, December 19, 2008

Kama ilivyo kwa wapatao faraja kwa kulamba makamasi, wapo wengi wenye kufarijika na visivyo kufariji ingawa ulivijaribu kwa siri gizani.

Pamoja na kuwa kwako busara ni kutibu kidonda, kuna wapatao maana ya maisha na kuishi kwa kuwa na kidonda.

Inawezekana siri ya nguvu zako za kutaka kumponya mwenzio kidonda ni kutibu kidonda chako moyoni cha mapungufu ambayo yanajaziwa kwa kujishughulisha na YAWENZIO ili kuleta maana katika maisha yako ambayo yamepoteza maana au umepoteza jicho la KUONA MAANA.


Lakini...
..... kama unataka kupona kidonda kama ulivyopona kipele , usikune kidonda!

Tatizo ni.....
......unakingine cha kufanya kidonda kikipona?

Kama huna kijaziacho ya kidonda kikipona ,TONESHA KIDONDA kisipone!

SIku na wiKIEndi njEMA!

Ngojea basi Waziri MKUU Silvio Berlusconi ambaye ni tajiri kuliko wote ITALI atufundishe tena jinsi ya KUNYWA CHAI kwa MAKAMASI


Au Dawn Penn akumbushe HUNIPENDI katika NO NO NO (Dj Dope's jungle mix)

Au tu Wenge Musica walete - Kalayi Boeing

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 10:15 am  

wikiend njema na pia ijumaa njema nawe! kazi kwelikweli-:)

Simon Kitururu 7:47 pm  

@Dada Yasinta: Asante Dada!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP