Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

JAMBO LISILOKUHUSU likikutia NYEGE!:-(

>> Sunday, August 29, 2010


Ndio ,...
......mara nyingi kimtiacho nyege mtu ni ambacho sio chake,...


.......na INGAWA hata kama KINUNIA SHUGHULI  kina upele wenye usaha,...



....LABDA mwenye nyege KINUNACHO na KIKENUACHO  kikitekenywa  HATA KABLA YA SHUGHULI bado katika kupandisha JAZBA ya  hamu ya utamu  ya
 MHESHIMIWA KINUKA MKOJO ,....


....hicho KIDUDE  hata kama hakita kata makali  baada ya kuonja AU KUONJWA labda bado MHESHIMIWA mwenye nyege kama kina mgusa ANGALAU  MAWAZONI ,....
....labda hicho  KINAMHUSU.:-(





Swali:
  • Unafikiri UNAUHAKIKA  kuna jambo lisilo KUHUSU ?

NI WAZO TU HILI Mheshimiwa BI Mkora!:-(

Hebu katika kubadili ndude tumsikilize mtoto wa NYERERE ambaye kwa jina ni ROSE -MARY NYERERE akijitetea kisomi....... na SAMAHANI kiswahili chake kinahitaji Kingereza katika baadhi ya pointi:-(




Au tu Kanda Bongo Man achokonoe kidude kwa -Cantique



Au tu Kanda Bongo Man arudishe mdinyo ajulikanao nao afrika kwa ndude-Wallow



Au tu Kanda Bongo Man aendelee kushusha uji mzito katika.......

9 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

emu-three 2:48 pm  

Ndio yapo yasiyokuhusu ukiyatamani , utanyegeka, na mwisho wa siku utabaka hata kile cha mkononi mwa Kisura! Wangapiwangapi wamebaka vya mkononi kwa kushindwa kuhimili nyege zao, na wakaishia kuchomwa moto.

EDNA 3:43 pm  

Hahahaaa,Mtakavitu unavituko wewe.Mie thithemi.

EDNA 3:43 pm  

Hahahaaa,Mtakavitu unavituko wewe.Mie thithemi.

Simon Kitururu 5:06 pm  

@Emu -THREE:Mmmh!
@Edina: Mbona kama umeTHEma? Halafu mtoto mzuri kweli wewe![wink]
Unaona sasa yasiyo nihusu yanavyonihusu!:-(

Yasinta Ngonyani 11:47 pm  

Mmmmmhh! kaazi kwelikweli hapa!

chib 6:27 pm  

:-)

o'Wambura Ng'wanambiti! 5:30 pm  

Duh! Hayawihayawi yanakuwanga...lol!

Upepo Mwanana 9:17 pm  

Kazi ipo!!!

Simon Kitururu 5:35 am  

@Wote: Mmmmh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP