Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ashki

>> Thursday, January 25, 2007


Kutaka...
Kutakwa.....
kuwania....
Kupewa....
kumpa...-.
Kumfurahisha.....
kujifurahisha...
kumwania...
kuwaniwa...
kutafunwa ....
kumtafuna....
Yote yanaweza kutokana na ashki!........mdadi.....genye....!

Inawezekana ni ashki imeniponza!...
Inawezekana imekuponza!....
inawezekana ....

Ashki!
MmmmHhhhh!

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP