Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Hivi Wewe Jina lako Nani? Au...?

>> Sunday, January 14, 2007


Haloooooooooooooooooooooooo!
Habari gani!
Shikamomoo!

Wewe: Mmmmm!Duh! Naona mambo yako si mabaya!
Yeye:Acha hizo Mshikaji!

Dondoo:
Unajua unaweza kuendeleza uhusiano wa ajabu na mtu kwa sababu hutaki tu kumwambia kuwa humjui?

Swali:

Uhusiano wako na Jina lako ni nini?

Nikawaida kusikia kua watu wamepata mtoto, halafu wanahangaika kupata jina la mtoto.Lakini labda hawahangaiki ila wanataka kupata jina zuri tu.

Au.....?

Lakini ni kawaida kwa wale ambao wanajenga taifa la kesho lenye mbegu zilizo pandikizwa shamba la nyumbani, jirani au pembeni kujikuta wako katika majadiliano ya jina la mtoto.


Au...?

Hivi mtoto jina lake.... au awe na jina gani?

Awe na jina la mama yake mzazi,baba,bibi,babu yake,... au?

Au awe na jina la shujaa wako, yake ..... AU?


Samahani najua unaweza au anaweza kuleta kibezi ilimradi ashikilie nguvu au maamuzi ya jina.

Au..?

Okei, ndio mapenzi na ndio siri ya mahusiano hayo!


Au?

Samahani , nilivyopiga hodi nilifikiria Alufani yuko nyumbani....!

Hivi Elizabeti atarudi nyumbani saa ngapi?...
Swali:
Hivi Mbwa wako uta muita nini au anaitwa nini?



KWA NINI?


Hivi wewe unauhusiano gani na jina lako?

UNAITWA NANI?

Samahani kwa kukusumbua!
Samahani inabidi nikuulize......!



AU...?


Samahani kwasababu ................
NAJUA UNALIPENDA JINA LAKO.

Au?!!!!!

Samahani!!!
Jumapili Njema!

Au...?

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP