Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Aisee CHOO, naomba KUKUKOJOLEA!:-(

>> Monday, July 13, 2009

Choo,...
... watu WASTAARABU labda kabla ya KUKUNYEA nao pia NI KWELI wana KUKOJOLEA!:-(

Chooo,...
....vitendo UFANYIWAVYO kwa ajili tu una TUNDU , kwakuwa NI KWELI hata KAMA ni kweli HAITAKIWI TUSEME, ila MARA karibu zote TUKINYA tuna ADABU SANA hata kama UNABISHA muulize nanihii ATAKIRI ni kweli hata leo wakati TUKIFANYA mambo HATUJAKUKODOLEA.


Choo,....
..... mjanja kama tu MCHOYO wa KUNYA kweli WANAWEZA KIRI we bingwa kwa kuwa wote NI KWELI wana KUCHOJOLEA.


Choo,...
....asante kwa kuleta USAWA kwakuwa kuanzia RAIS mpaka wapendao URAHISI wote pamoja na MTAKATIFU mimi, TUNAKUTEMBELEA.



DUH!

NAACHA WAZO Kingunge kabla hujakumbuka nyuma ya KIKOJOLEO kuna KINYEO chenye sura MBAYA!:-(

Swali:'
  • Hivi unakumbuka CHOO na MTU ukifananisha wanaweza KUFANANA kama NI KWELI wote wanaweza KUKOJOLEWA?


Ngojea Dave CHAPELLE atukumbushe R Kelly anapenda kukojolea watu katika- Piss on YOU



Au tu jamaa apige GITAA katika wimbo wa R Kelly aongelee- -Ignition

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 8:58 am  

naacha kukukojoa

Fadhy Mtanga 8:25 pm  

Mmh! Starehe yake unaijua kaka?

Simon Kitururu 11:36 am  

@ Papaa Kamala: :-)
@Papaa Fadhy: Sinauhakika:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP