Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NIPANULIE!:-(

>> Monday, July 13, 2009

Panua,...
.... kama UNACHAKUPANUA.

Nipanulie,...
.... na NI msaada kwetu tupendao KUPANULIWA.


Wakati unapanua,...
.... kumbuka UNAKIPANULIO la sivyo USINGE PANUA.:-(

Nipanulie,...
.... si kwa sababu unahuruma TU, ila kwanini NICHACHE wakati una SHILINGI kibao UKIPANUA?


Swali:

  • Hivi unakumbuka yeyote unayefikiri KAFANIKIWA kuna uwezekano kuwa mafanikio yake yalifanikiwa kwa kuwa kuna MTU ali PANUA?
  • Hivi unakumbuka kama unauwezo na unataka watu wafanikiwe inahitajika UPANUE angalau UWIGO?
  • Unauhakika hujawahi kupanua au ni kwamba hukumbuki ukipanuliwa?

Duh NAACHA wazo na JUMATATU NJEMA Kijeba!

Au tu Nuru the LIGHT amuongelee - MSELA



Au tu FUCKLY alonge ya -DUDU

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 8:56 am  

duh na nkupanuliwa je??

Yasinta Ngonyani 1:12 pm  

Mmmmmh kazi kwelikweli!

Fadhy Mtanga 8:22 pm  

Talalilalilalalah...!

Simon Kitururu 11:35 am  

@ Wote: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP