Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

LEO mie MTAKATIFU Simon Kitururu NAKIRI kuwa na HAMU kweli ya UTANDU na UKOKO kwa MBAAAAALI!:-(

>> Thursday, July 09, 2009


Sijui nipandishe MZUKA wa UTANDU na UKOKO ?

Na hamu kweli ya UTANDU na UKOKO kwa mbaali halafu nilipo MAMA NTILIE HAKUNA!:-(

DUH!

Na hapa siongelei ukoko wa UGALI , MAHARAGE ya NAZI ya JANA au tu MAKANDE a.k.a PURE/ KIBULU.

Wapenzi wa hiki kitu nadhani MNAJUA na mnanielewa naongelea nini!:-)

DUH!:-(



NI HILO TU!


Ngojea nijisahaulishe kwa kufikiria -BATA kama wasimuliavyo -HABIB na RICHIE


Au tu SAMBA MAPANGALA aendelee kunitamanisha -NYAMA CHOMA

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 2:43 pm  

Mmmh, haswaaa..!

Yasinta Ngonyani 7:00 pm  

Hahahahahahahaha nashindwa kuacha kucheka MTAKATIFU SIMON kazi kwelikweli labda niseme sentesi moja tu. Mambo yenyewe ndo kama hivyo basi kazi ipo.Samahani kwa kucheka:-(

Mija Shija Sayi 11:59 pm  

Pole sana mtakatifu. Kumbuka maneno yako hakuna anayeimiliki furaha kwa asilimia 100, naona hapo leo furaha yako imetatizwa na HAMU.

Simon Kitururu 8:09 am  

@Wote: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP