Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Nikome BABU WEE! Mie SILI KWAKO!:-(

>> Thursday, July 30, 2009

Na labda ni vizuri huli KWANGU,...
.....labda unajitegemea.

Na labda kuwa na wasiwasi kwa kuwa sili KWAKO,...
....labda sikuhitaji!:-(


Na tuwe na wasiwasi wa afya ya jamii kama imefikia tunawaza kuwa NANI ala KWA NANI,...
....labda maana yake jamiii IMEZIDIWA MUDA WA MAJUNGU na KAZI inahitaji .

Na tuwe na wasi wasi kama sijali yako kwa kuwa si YANGU,...
...labda maana yake hujali pia YANGU kwa kuwa una YAKO na kama ni kweli kujifunza UTU tunahitaji!:-(

Swali:
  • Nani kakwambia usiwe na wasiwasi kwa kuwa sili kwako?
  • Huwa ni kawaida kwako kuoanisha WASIWASI na MLO a.k.a KUPIGA TONGE?

NIWAZO TU KIJEBA wala usiwashwe!

Hebu twende tena Cape Verde kukutana na Lura alete-Na ri NA


Au tubaki tu Afrika hapahapa Cape Verde Calu de Brava adai-Terra Love

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 3:29 pm  

Aku babu weh!

Simon Kitururu 3:34 pm  

@Papaa Fadhy: :-)

chib 4:21 pm  

Wakati mwingine watoa comment wanaweza kukuacha hoi sawa na ujumbe wenyewe waliouchangia :-)

Simon Kitururu 1:58 pm  

@Mkuu Chib: Si utani!:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP