Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Swala zima la KUANZA UPYA!

>> Wednesday, July 29, 2009

Kwanza,...
.... ukiamka tu kuna uwezekano hakuna UJANJA zaidi ya kulazimika kuanza UPYA.:-(


Pili,...
....kama ulijaribu na kuumia KWA KUKATA TAMAA inaweza ikawa ni KUKATA TAMAA unako KUANZISHA UPYA:-(

Tatu,...
.... labda ni kweli safari iliyopita NANIHII ilikosewa kama hutaki kukiri uwezekano kuwa ULIKOSEA,.........................
....SASA kwa nini usijiunge nami Mtakatifu Simon Kitururu /Muzee wa Kukosea TUANZE UPYA?

Nne,...
..... kumbuka hata kama ulipatia jana hiyo ilikuwa JANA leo mchezo hata uleule ni MPYA.:-(

Swali:
  • AU unasemaje katika swala zima la katika maisha ,TUANZE UPYA au TUKATE TAMAA?


NIMEACHA wazo halafu SAMAHANI KIDOGO MHESHIMIWA naenda kukojoa KIDOGO!:-(


Unaweza kumsikiliza Peter Tosh akikumbusha katika - Pick Myself UP

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:15 pm  

sitasema kitu ila tupo pamoja

Fadhy Mtanga 7:13 pm  

Kumbuka kushake well after use!

Simon Kitururu 3:31 pm  

@Yasinta: :-(
@Fadhy: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP