Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

STAREHE za watu za kuumiza roho MTU!:-(

>> Wednesday, July 29, 2009

Labda ni ubinadamu kwa binadamu kuwa na hamu ya kuumiza MTU!

Na kiubinadamu kuna mtu anahalalisha ni nani marafiki na nani maadui hata katika kuchagua wa kumuumiza MTU!

Cha ajabu hata undugu tukiachia mbali urafiki waweza ukawa ndio uletao nafasi ya mtu kuumiza MTU.


Ni vizuri kukumbuka tu,...
.....MKUKI kwa nguruwe unaumiza hata nguruwe ingawa kuna mtu hutaka kuhalalaisha ya mkuki kuwa mchungu tu kwa MTU.

Swali:
  • AU?
  • Hivi ukijisachi kumoyo hautakuta angalau chembechembe za nyege za kutaka kuumiza MTU roho?


Ni wazo tu MUZEE WA KUPEKECHA na wala USITISHIKE!

Hebu Fatboy SLim abadili hali ya hewa kwa kitu-Praise You


Au tu FAT man Scoop amalizie kwa-Put Ur Hands UP

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:14 pm  

:-(

Fadhy Mtanga 7:11 pm  

Mkuu, mie to be honest sina kawazo ka kuumiza mtu kwa sasa ingawa muda mfupi tu ulopita duh!

Simon Kitururu 3:30 pm  

@Yasinta: :-(
@papaa Fadhy: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP