Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

WAKATI tunasikiliza ya yule ISEMEKANAYO ni WAKUIGWA MFANO!

>> Monday, July 20, 2009

Labda ukiona utakaokuuiga MFANO,....
.... USIWACHUNGUZE kiundani utakao KUWAIGA MFANO.

Na LABDA ukiwachunguza sana wakupao MFANO,....
.... waweza KUGHAIRI kuiga hata ule mzuri wao MFANO.


Na wakati unaiga MFANO,...
.... kumbuka mifano mingine HADHARANI ni danganyatoto na wawezajikuta umekuwa hata MALAYA kama si KIRUKA NJIA na tutajua kwa UONYESHAVYO wako MFANO.

Swali:
  • Hivi unakumbuka mpaka hata akina Rais Nyerere kuna wenye uhakika MIFANO yao haiigiki kwakuwa kwa mtazamo fulani KIMFANO ilishindwa?

  • Hivi unakumbuka ukimuiga NELSON MANDELA kuna watakaodai maana yake NDOA kadhaa zitakushinda na unaweza kuitwa TERORISTI na WAJANJA kama alivyojulikana MADIBA kabla hatujaMJUA?

Ni wazo tu KINGUNGE na NIMEACHA!

Hebu tumsikilize Rais wa Rwanda Paul KAGAME kidogo aonyeshe maringo yake dingilidingili mpaka chini... katika- Africa's Greatest Success?





AU tu Bembeya Jazz National wabadilishe HALI YA HEWA katika kibao -Whisky Soda

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 8:45 pm  

Kwa MFANO hata nini siyo MFANO mzuri kwa wapaswao kuwa MFANO.

Simon Kitururu 2:42 pm  

:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP