Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Tako - Siriasli!:-([tahadhari :stori ya kijinga]

>> Thursday, July 23, 2009

Mtu anapoZALIWA,...
.... tako ni moja ya KIUNGO ambacho hata MJANJA huchelewa kukiona ingawa KIPO!:-(

Na saizi ya TAKO unapoZALIWA,...
....ni VIGUMU kuheshimu umuhimu wake ingawa linasaidia kukuondolea uzito WAKINYESI bila kuliomba na LIPO.:-(


Na kunauwezekano TAKO huwa linafichwa tokea UNAPOZALIWA,....
.... na sababu zake za kufichwa ni kwa kuwa hata kabla haujaliona kuna walisafishao na wanacho safisha ni kinyesi kwa hiyo hata likivalishwa chupi safi wanakuwa tayari wanakuandaa kuficha hata tako safi UKILISTUKIA ingawa ukiwa hai LABDA bado linasaidi ya aibu na LIPO.:-(


Na tako hata kama linapendeza na linanukia poda KWAKUWA limenyunyuziwa PODA baada tu ya KUZALIWA,...
.... bado hata alizungushaye UKUBWANI kwakuwa ni KIGOLI na linampendeza au tu ni MSENGE na BASHA anatamani kipenyo, NI VIGUMU kulikosanisha na uhusiano wake na KINYESI hata kama alizungushaye kapigwa pasi na anawaringishia wasio wajanja kuwa tako LIPO:-(


Swali:
  • Hivi kuna uwezekano MHESHIMIWA umefuatilia stori ya tako mpaka sentensi hii? LIONE VILE!:-(

DUH naacha wazo hili ambalo labda ni la KIJINGA Mheshimiwa WANZABANGA!:-(


Ngojea nimuachie Erykah Badu anisaidie katika kitu-Annie HAVAI CHUPI au kwa KIKRISTO -ANNIE don't wear no Panties
Au nimuache katika picha kama alivyonisaidia Juzi ya Jana....


Photobucket


Photobucket




Photobucket








Photobucket




Photobucket





Photobucket




Photobucket




Photobucket

Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket


DUH NAACCHA na namuachia tena Erykah aendeleze kunitesa kama JUZI ya JANA...katika - On and On

5 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 12:57 pm  

Hapa naona ulikuwa na wakati mzuri kweli na nakuonea wivu kwa kuwa na marafiki wengi:-)

Simon Kitururu 1:58 pm  

@Yasinta: Duh!:-(

Yasinta Ngonyani 3:33 pm  

Sidanganyi Simon:-(

Fadhy Mtanga 8:57 pm  

Mkuu upo juu kinominomi.!

Simon Kitururu 8:27 am  

@Yasinta: :-)

@Papaa Fadhy: Hakuna cha Ujuu wowote Mkuu!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP