Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama UMESTUKIA unaweza na UNAJUA JINSI ya KUVUMILIA ukinyimwa na MALAYA!

>> Monday, March 09, 2009

WAKATI unaendelea KUVUMILIA wakati UMENYIMWA na MALAYA,....

.....bado....
AFRIKA inagawa kama malaya na kumnyima iliyomnyima liMTU kama ANYIMAVYO mtu MALAYA.


Labda,...
... AFRIKA ni BARA MALAYA ingawa kuna wanyimwao na MALAYA.


KATIKA.....
... KUVUMILIA ni bado unavumilia kwa kuwa ULITAKA na ukinyimwa ROHO INAUMA KWAKUWA ULITAKA ingawa uko katika uvumilivu na unafikiri imekuaje hunauhakika UTAPATA ya kawaida na unashangaa umenyimwa uliyofikiri ni YA UHAKIKA yake MALAYA.


Wakati UNAVUMILIA bado ni KWELI ulitaka kuifanya hata ambayo sio ya MALAYA ,na kunauwezekano unakumbuka au baada ya kunyimwa NDIO UMEKUMBUKA unaweza KUCHEUA mwenyewe na huhitaji MALAYA.

Swali:
  • Wakati unafikiria maendeleo umewahi kukumbuka kitu kiitwacho PUNYETO?

KAMA,...
.... unavumilia LABDA unafanya na uvumilivu WAKO NI DALILI za kubobea katika KUFANYA.

FANYA BASI!
Swali:
  • AU?
  • AU unanisubiri MIMI nifanye?

NA ni KWELI,...
.... mambo ya MALAYA MTAMU anajua aliyeonja na kula MALAYA.


NA,...
.... wengi waongeleao, KUPIGA KELELE au KUMZUNGUMZIA malaya,hawamjui MALAYA
Swali:
  • AU?
  • Kama AFRIKA ni demu mwenye chunusi unafikiri unge mtoa chunusi kwa kubinya chunusi au kwa kumsifia anachunusi ujualo halidumu kwenye uso mzuri?


NAACHA!


Ngojea nimuache rafiki yangu Papaa Kweba ofisini!Kweba eeh, unanitenga lakini!Tuko pamoja na salamu lukuki!
























Ngojea TONY HENRY alete tena muziki aina ya opera katika- NOW we are FREE.



Au ngojea TONY HENRY wa RNB alete za- Redemption Song


DUH!!
Basi tupate tu ZUKE kutoka kwa Jacob Devariux na wenzake...


8 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Koero Mkundi 6:15 am  

He Kaka,

Mbona huishi vituko!!???

Simon Kitururu 8:05 am  

@Dada Koero: DUH!:-(

Yasinta Ngonyani 9:58 am  

Kaka Simon, Nasema kama Koero una vituko sana. Mmh kazi kweli kweli

Simon Kitururu 1:57 pm  

@Rasta: Asante!
@Yasinta: Mmh!

Mbona ukiulizia yoyote anijuaye utapewa sifa zangu za utulivu na upole?

Yasinta Ngonyani 3:10 pm  

basi afadhali nikuulizie we mwenyewe:-)

Koero Mkundi 5:11 am  

Lakini katika utulivu na upole pia kuna vituko.
Bado nasisitiza kwamba una vituko!!!!
DUH!!

Anonymous 10:02 am  

Ha ha ha h Kaka Simon sijakutenga mzee...ila hapa karibuni shughuli zimezidi kipimo...lakini tutawasiliana kaka.
Simu yangu ina mushkeli..ntakushtua nikipata namba mpya.
nb: Asante kwa kunipaisha kwenye blougu yako ;)
Kweba

Simon Kitururu 2:38 pm  

@Dada Yasinta +Koero: DUH!
@Kweba: Tuko Pamoja!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP