Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

RAIS yupo USIJAMBE!

>> Sunday, March 15, 2009

Labda,...
....HESHIMA ni kwenda KINYUME au nyuma na utakavyo kwenda mbele AU vya MBELE.

Ingawa,...
.... siongelei KIJAMBO cha mbele sasa hivi hapa ,...

...ILA....
kunauwezekano kuwa KWA heshima unajizuia kujamba kwa KUTUNZA heshima ya visivyo hitaji kuwa na UHUSIANO na NENO HESHIMA mbele KWA MBELE.


NI...
... aibu wakati VYA AIBU haionekani VINATIA aibu KWA sababu TU wenye HESHIMA NA AIBU wanavipa KIPAUMBELE visivyo stahili heshima KWA HESHIMA na aibu.

Swali:
  • AU?

  • Unauhakika unamheshimu RAIS wakati yeye pia anajamba AU huna uhakika labda sasa hivi kajamba kiheshima na SI aibu?
  • Unauhakika kujamba ni KITENDO au labda kuona aibu kwa kujamba HADHARANI au kisiri ndio KITENDO cha AIBU?

KWA heshima naacha hii topiki AMBAYO LABDA NI YA KIJINGA KAMA UNAUHAKIKA, ingawa labda haijanishinda BILA AIBU!


JUMATISA njema!

Hivi leo kunauwezekano sio jumamosi au ngojea nirudie kukuuliza kwa kisauti....





Au nikukumbushe TENA kawimbo...




Au tu...




Kuna adaio aliye kwenye PICHA kuwa nilikuwaPOA ZAIDI miaka fulani ILIYOPITA wakati wa picha hizi BAADA ya hii sentensi ya KIJINGA, ingawa najaribu kujitetea sijabadilika bado ingawa siku hizi ni kweli nataka kumpa mimba mtu kama kuna mwenye huruma bila kumpiga PICHA :-(










































































































































































































































































Ngojea I-Wayne anikumbushe katika - Cant SATISFY her


Au turudi tu tena nyumbani kwa ALI KIBA azungumzie- NAKSH naksh MREMBO...

5 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 1:05 pm  

Mh Simon:-( kazi kwelikweli haya bwana jpili njema

Koero Mkundi 1:49 pm  

Kaka Simon Mkodo Kitururu,

Hakika sikuwezi kwa vijineno na vijimambo
Ama kweli hujatulia

DUH.....!!!!!!????????

Simon Kitururu 2:07 pm  

@Dada Yasinta: Kazi kwelikweli:-(
Jumapili njema!:-)


@Dada Koero:DUH!

Yasinta Ngonyani 2:36 pm  

Nimerudi tena uliwaza nini kawimbo hako yaani umenifurahisha na nimekumbuka sana nilipokuwa mtoto na nimeanza kuimba na watoto wangu wamekapenda kawimbo kako.(ketu ka utotoni)

Simon Kitururu 3:43 pm  

@Yasinta:Sikumbuki nilikuwa nawazanini ila nikumbukacho ni kwamba nilicho rekodi na nilichokuwa nafikiri kabla ya kurekodi vinatofautiana :-)

Sijui kwanini Dada YASINTA naanza kuhisi husomi mambo niliyo andika zamani!:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP