Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Katika kuomba TITI unaweza usistukie MAKUNYANZI ya CHUCHU!

>> Friday, March 27, 2009

Katika KUOMBA,...
.... unaweza kuomba mpaka TAKO!:-(

LAKINI tako LAKO linaweza lisiwe na manufaa KAMA ya TITI ingawa huo ndio UKWELI usio tako kwa ATAKAYE kubonyeza TITI!:-(


DUH!

Kuna sababu ,...
.....na ni kawaida KUOMBA ingawa unaweza KUJISIKIA vizuri baada ya kuomba ,.....

....UKIPEWA.....

.... kwa kutumia VIGEZO a.k.a ZE vigezo VIHALALISHAVYO ni KWANINI uliomba MKEBE,.....


.... WAKATI,....


.... wakati ulitaka KIFUTIO TU kwenye MKEBE , na sasa una MKEBE wenye BIKARI na hakuna KIFUTIO kwenye mkebe.:-(

Swali:
  • Unakumbuka kuwa huhitaji kukumbushwa vigezo vya KUCHUCHUMAA KWA MZOEA CHOO CHA KUKAA kama swala ni KUNYA kwenye choo cha shimo ?
  • Unakumbuka kuwa pamoja na maringo yote ya kuchambia maji LABDA wewe ni shujaa wa KUTAWADHA kwa mchanga UKIPEWA nafasi?

Kinamna labda TUMEZALIWA na hatukuomba waliotuzaa WAJIFUNGUE sisi!:-(

Na,...
.... Maisha si ukweli kuwa ni RAHISI ingawa usijinyonge lakini kwa kudhani NI RAHISI vile kuamua kuendelea KUISHI!
Swali:
  • AU?

  • Katika kumuomba MUNGU yote hata yale ya kutaka kufuta makunyanzi ya CHUCHU, si ni KAWAIDA asilimia TISINI za tuombayo hata yasiyo na uhusiano na titi hata la kiume, si HATUJAPATA au MWENYEZI hatupi ndio maana tunaendelea KUOMBEA MPAKA chakula kilichopo mezani badala ya KUSHUKURU?
  • Hivi wanawake wanakumbuka wanaume wana CHUCHU ambazo sina uhakika wameumbwa nazo kwa sababu gani ingawa labda wewe unajua?
  • AU?

NIMEACHA!
Kumbuka NAWAZA tu na LABDA ni UJINGA!


Ngojea twende CONGO Classical Symphony Orchestra walete - Carmina Burana


Au tu Youssou Ndour na Koffi Olomide walete - Festival

6 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 2:37 pm  

Mmmh! Simon, kazi kwelikweli:-(

Digna Abrahamu 2:52 pm  

Kaka Kitururu,

Naomba niwe mkweli kuwa mara nyingi ninapopita hapa nakutana na misemo yenye kufikirisha, Je kuna jambo gani lililojificha nyuma ya haya unayoyazungumza?
maana nahisi kuna kitu kama fumbo hivi?
Au ni mimi tu sielewi?
Samahani mimi ni mgeni, naomba kuelimishwa.

Koero Mkundi 3:13 pm  

Duh, ndio umesharudi hivyo, na vituko vyako!!!!!!!
Watu tulipumzika, na sasa umerudi, kweli kazi ipo.......

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 11:22 am  

simon, kuombea chakula wakati kipo mezani. nilianza kupigwa mikwara na yule jamaa kwa kuomba omba nikionacho na kilichopo tayari kwa ajili yangu na mimi pekee kiimani!

hata hivyo kuna vitu tuviombapo tunakuwa wagumu kuvitamka. huweze kusema naomba kwenda afrika ya kusini isiokuwa kwa muuzaji wa tiketi pekee vinginevyo unaomba kuelekea kwenye ofisi za kukatia tiketi na ukienda uwanja wa ndege husemi kama unaenda kupanda ndege bali kupumzika na kupigia stori huku wote mkiwa na shauku ya kujiona kwenye ndege inayoruka.

Anonymous 9:11 pm  

DUH!!

Simon Kitururu 7:07 am  

@Wote: DUH! :-( :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP