Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kama kuna BUSARA za KUJILAUMU!

>> Tuesday, February 24, 2009

Labda,....
.... kama bado unakumbuka kujilaumu kuna uwezekano una UTU!

Kama,....
..... unajilaumu , si lazima lakini kuwa ni wewe wa KULAUMU.
Lakini wakati UNALAUMIWA labda ni kweli kuna kilichofanyika.

Swali:

  • Tokea uzaliwe unafikiri umesahau kujilaumu mara ngapi?
  • Wakati unalaumiwa ni mara ngapi unajua ukweli si wewe ustahilie lawama?


Siku Njema!

Au kama una muda tulia na Faya Tess katika kibao -GINA

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP