Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Labda BASHA ni MSENGE!

>> Monday, February 23, 2009

LABDA,...
....basha MSENGE kwa sababu anakula unacho ONJA!.


Lakini,...
.... kumbuka ukionja maana yake UMEKULA.

Inawezekana unakumbuka bado BASHA na MSENGE wanakula UGALI kama tu asiye TALIBANI.

Wakati....
.... unafikiria kwanini Msenge hajaoa BASHA ,kuna uwezekano unafikiri unajua ndoa.

Na,...
....kunauwezekano kama umefikia kujua ndoa NI nini ,....

.....basi....
....ndoa YAKO imeanza kuharibika au imeshaharibika ndio maana una utaalamu wa ndoa.
Swali:
  • AU?

Lakini,...
.... kabla basha hajaonja bado ni BASHA.

Msenge anapendwa kulalamikiwa kwa sababu ya roho nzuri ya kutoa , ila ukweli ni kwamba hakuna basha kama msenge hayupo.
Swali:
  • Si unakumbuka kuna watu wanahangaikia sana KITU wakati LABDA wahangaikiacho kama hakijaoshwa labda kinanuka Mkojo au mavi?
  • Unakumbuka PADRE, Shekhe na MSENGE ni watu ambao wamebobea kwenye ZAO wafikiriazo waziweza fani?
  • AU?

NAACHA!
Kumbuka NAWAZA tu!
siKU NJema!


Tumtembelee mtoto wa Bob Marley kwa jina Steve Marley azungumzie.. - Rebel In Disguise

Au Ngojea Snoop Dogg na Butchy Cassidy wamalizie kwa kusema - Loosen Control..

ASANTENI WADAU WOTE!
Asante pia kwa wadau ambao tulikuwa wote JUZI ya JANA na kamera yangu ilibahatika kuwadaka kama hawa.....

Photobucket
Papaa Ray a.k.a Raymond Mutafungwa , a.k.a Mkuu wa kikao, ASANTE!


Photobucket

Photobucket


Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket



Photobucket



Photobucket






Photobucket







Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket

Photobucket


Photobucket

Photobucket

Papaa Ronaldo, ASANTE!

Photobucket





Photobucket

Photobucket

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Anonymous 5:55 pm  

amani kaka.

unajuwa mkuu kama ukomawazoni inawezekana 1+1 usipate jibu au ukakosa?unajuwa asahihishaye anaweza jua yuko sahihi lakini kakosa?

amani kaka.
rasta hapa.

msalimie mtimkubwa.

Simon Kitururu 1:12 pm  

@Rasta:Nakubali kabisa mtazamo!Nitafikisha salamu kwa Mti Mkubwa!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP