Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NIMECHACHA!

>> Monday, February 09, 2009

Naomba!
Labda niliomba!
Bado nahitaji ingawa si poa kwa mtazamo wako KUOMBA ndio maana LABDA unakumbuka zaidi ukiombwa.:-(

Swali:

  • Unakumbuka ?
  • SI nimewahi KUKUOMBA?
  • HIVI unauhakika Ushawahi KUOMBWA au unajisikia tu UMEOMBWA kwa sababu katika TAFSIRI yako nimekuomba?

Naendelea KUHITAJI mwenzio ndio maana mpaka najaribu kukumbuka kuwaomba mpaka wajanja kuliko wewe ambao MJANJA aita mmojawapo MUNGU!:-(

WAKATI naleta JEURI ya KUOMBA najua UNAkumbuka NA unajua inaruhusiwa KUNYIMWA!:-(

UNYIMI ni SANAA !
UNYIMI inaweza kuwaBURUDANI!



UNAWEZA mpaka UKAKOSEA KUNYIMA mpaka ukamnyima ASIYE HITAJI na hakuomba hata MAENEO kwa nia ya BURUDANI!:-(
Swali:
  • UNAUHAKIKA nimechacha kwa sababu kuna KUCHACHA katika BURUDANI?
  • Si unakumbuka kuchacha zaidi hasa kwenye UKAME wa NANIHII ndio maana hukumbuki starehe ya KUWANACHO kabla hujafikiria au kukumbuka burudani ya KUCHACHA?

Katika utaarabu wa KUCHACHA unaweza mpaka ukastukia na kuelewa BUSARA ZA WALIOCHACHA katika BURUDANI usipoangalia!:-(


NAACHA!
Samahani lakini kama ulishindwa KUNINYIMA BURUDANI wakati ulinipa wakati UMECHAHCHA!:-(
Tutulie na OJ MASAI A LEADER WHO KNOWS EVERYTHING. GTV

AU Tulainishe ya ALLAH katika ALLAH HOOO (GOD IS ONE) na USTAD NUSRAT FATEH ALI KHAN katika miondoko ya MUZIKI aina ya QAWWALI.....

AU tuendelee tu na JAMES BROWN olympia mwaka 1966 .....

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP