Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

SINA MAJIBU!

>> Wednesday, February 18, 2009

Katika hali halisi ya kuumbwa kibinadamu Simon Kitururu kama Chakubanga tu , bado ni MTU.


CHAKUSIKITISHA....
......katika ubinadamu wa baadhi ya binadamu kutafuta mkao wa kuheshimika katika jamii ya kibinadamu, MHESHIMIWA MTU huweza hata KUAHIDI MAJIBU yawezwayo na MALAIKA kama si MUNGU PEKEE.

Mie sina majibu ingawa napenda kuuliza!:-(

Swali:

  • Hivi Mungu kama yuko pekee na hapendi dhambi, unafikiri sio mpweke sana kwa kuwa pekee na labda kwa miaka milioni kadhaa KANUNA kutokana na kujua ataumba binadamu halafu watafanya dhambi?
  • Hivi wewe unajua mangapi kama mjuaji yaliyokufanya uweHAI jana?
  • Sina majibu lakini si kuuliza RUKSA?
NAACHA!
BAADAYE!
Hebu tubadili hali ya hewa kwa kucheki uhusiano wa binadamu katika kufuatilia
Mapping migration with genes katika -phonecian gene.


Au ngojea tena Billy Taylor, Duke Ellington and Willie the Lion waJAZZfai katika kibao -Perdido..

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP