Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NI KAZI YAKO au chaguo lako?

>> Monday, February 16, 2009

NAJUA uko kazini hata kama huna kazi!


WAKATI unafikiria hiyo kazi ya kuwazia kazi, ....
..... kuna uwezekano bado kuna chaguo la KUENDELEA NAYO au KUENDELEZWA NAYO.


Kuna uwezekano kabisa ni KAZI INAKUFANYA wakati wewe unafikiri unaIfanya kazi!:-(



Narudia swali:

  • Hiyo ni kazi yako ILIYOKUCHAGUA au ni chaguo lako la KAZI?


Labda hiyo kazi sio chaguo lako kama tu lisivyokuwa chaguo lako kuwa wewe ni mtoto wa RAIS MANDELA na lingekuwa chaguo lako ungetaka uwe mtoto wa RAIS LOWASA.:-(

Lakini kama sio chaguo lako katika mkao wa HALI HALISI uliyonayo , bado naomba tena kukuuliza SWALI:
  • Unauhakika hiyo ni kazi yako au haikua chaguo lako na ni kazi kwako?

  • Unauhakika ingekuwa ni chaguo lako ungetaka uzaliwe katika dunia hii yenye mpaka gono?

NAACHA!
Ngojea Mory Kante aendeleze tena katika- Yeke Yeke

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP