Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

SAMAHANI kama bado sijafanikiwa KUKUKOSEA Mpenzi!:-(

>> Wednesday, February 11, 2009

MAPENZI bila kukosea,...
..... ni kama KWENDA haja kubwa bila mguNO.


NA katika ufundi wa kukosea,....
..... si LAZIMA penzi likatikiwe kiuNO


MPENZI utanogewa,....
..... kama ni TAMU na makosa yanaruhusiwa katika mavuNO.

NA kama unanogewa....
........kwa sababu bado sijakosea,
.................JIHADHARI na karatasi mwenzio nina peni yenye wiNO.


MPENZI samahani kama bado sijakosea,....
....... na jihadhari na JEMADARI awezaye yote bila kukosea
............wakati wajua hakuna binadamu ajuaye mNO hata mguNO.
_________________________________________________________________
Swali:

  • Hivi wewe bado unanogewa kwasababu HAJAKOSEA au hata akikosea hustukii kwa sababu penzi bado LIMEKOLEA?


SIku njEMA!


Tutulie kwa kwenda tena NAMIBIA kwa TATE BUTI...wakidai..- Oshitenda

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

MARKUS MPANGALA 5:11 pm  

duh!

Simon Kitururu 6:19 am  

@Markus: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP