Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Labda Ni KWELI mshindi KAJAMBA!

>> Sunday, February 01, 2009

NI kweli......
......UKISHINDA katika kujamba, bado kuna WATAKAOJIPENDEKEZA kama WANAVYOJIPENDEKEZA kama vile MTU MAARUFU akijamba BADO umaarufu si HARUFU ya kijambo.

Swali :

  • Umestukia jinsi UWEZAVYO KUAMINI labda ukijipendekeza inarahisisha kupata KIDAKWA au KIDAKA TONGE na pia uwezavyo kusamehewa kanisani na HATA msikitini ukiinama na kujamba?
Samahani kama au LABDA ,....
...... wewe ni yule ambaye HUJAWAHI kufikiria KUJIPENDEKEZA ili KURAHISISHA nanihii IAMINIKAYO kuwa NI irahisishayo KUPATA TONGE kama tu kujamba.

NIsikutishe na sikusemi wewe ingawa ni kweli WAJIPENDEKEZAO labda WANA NAFUU kwa kuwa wanafikiria wanarahiSISHA!

Na...
....katika TAALUMA ya KUJIPENDEKEZA mtaalamu anaweza KUONJWA NANIHII katika kushughulikia NANIHII kutokana na breki za kijambo ALIZOCHUNA katika kujitahidi kuangalia SHINIKIZO liko wapi katika NANIHII!:-(

NA ni kweli.....
...hata kama WAJIPENDEKEZAO wanajua ulijamba na ulitarajia HAKISIKIKI kwa KUONYESHA jitihada zako za kutumia TAALUMA ya KUZUIA KIJAMBO, bado ni kweli BILA AIBU mtaalamu AJIPENDEKEZAYE anaweza kukiri katika UMATI HUKUJAMBA.

DUH!

Labda pia NI kweli ,....
... pasipohitajika kijambo WATAALAMU hawasikii KIJAMBO kama UMAARUFU hauletwi na HARUFU au MLIO wa kijambo.

NA.......,
.... wengi washeherehekeao USHINDI katika KUSHINDWA ,watajaribu kutuhakikishia kuwa pamoja na kwamba MSHINDI wakati anatoa HOTUBA ya USHINDI, ni BAHATI MBAYA akashindwa kuzuia KUJAMBA .
Basi ,......
....................kijambo cha MSHINDI labda kwa shabiki wa MSHINDI hakikuharibu umaarufu wa aliyecheka kwa kutosikia UJUMBE wa hotuba na mpaka JUZI YA KESHO KUTWA bado MDAU anakumbuka MHESHIMIWA aliJAMBA.:-(

Swali:
  • Hivi MSHINDI aliyeshinda anahitaji kukuhakikishia ushindi kama ulisikia AKIJAMBA?
  • Hivi AJULIKANAYE kwa ushindi wa KUJAMBA unauhakika ALIJAMBA?
  • Hivi unauhakika hapa kubwa zima Simon Kitururu linaongelea KUJAMBA?

HADITHI imeisha!:-(
NAWAZA tu MKUU usitishike!:-(
BAADAYE MKUU!
Twende Tanzania kwa WAKRISTO kumsikiliza Dr. Aril Edvardsen katika - Miracles in Tanzania...


AU twende Tanzania katika UISLAMU katika kujivunia SHEKHE MTOTO kwa jina Sheikh Sharifuddin Khalifa.....katika...-NENO


Au turudi tu BRAZIL kwenye LAMBADA kulambada na KAOMA katika- LAMBADA....

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Koero Mkundi 6:46 am  

DUH!!!!!
NDIO NAKUSOMA MTANDAONI MZEE, HUKU NIPATA HOT CHOCOLATE.

HII NI KALI......

KAAAAAZI KWELI KWELI.......

Simon Kitururu 7:48 am  

@Dada KOERO: :-)KAZI NI kwelikweli!:-(

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP