Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

UMEKIFIKIRIA unachokifikiria LEO?

>> Sunday, January 24, 2010

Jinsi unavyofikiria ,....
.....HUWEZA athiri UNACHOKIFIKIRIA lakini.:-(


Swali:
  • Ni mangapi uliyoyafikiria jana AMBAYO HULAZIMIKI KUYAFIKIRIA LEO ambayo unakumbuka kuyafikiria tena leo?


NI HILO TU!:-(

9 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 4:05 pm  

:-(

EDNA 4:23 pm  

Ya jana nimeyasahau yote kwa kuwa hayakuwa na uzito zaidi ya leo....

Fadhy Mtanga 3:00 am  

Jana nilifikiria kutembelea humu jamvini kwako. Leo tena nimejikuta nafikiria vivyo hivyo.

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 10:03 am  

duh, sura ya imwana!

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) 5:10 pm  

Wakati mwingine kufikiri ni kupoteza muda na pengine kufanya mambo bila ya kufikiri ni bora zaidi! Ati, ni lazima tufikiri? Mbona mimi nimekata wiki sasa bila kufikiri cho chote!

chib 5:57 pm  

Mimi nilifikiria kukutana na fumbo kubwa hapa kibarazani, nashangaa nimekutana na mistari....

chib 5:58 pm  
This comment has been removed by the author.
Swahili Street 9:38 pm  

wewe.......... acha........

Simon Kitururu 3:49 am  

@Dada Yasinta: :-(

@Dada Edna: :-)

@Papa fadhy: :-)
@komandoo kamala: DUH!

@Prof. Matondo: na nukuu ``Ati, ni lazima tufikiri?´´ Nadhani si lazima kufikiri . Lakini nafikiri inategemea na rutini za maisha zimezoelewekaje. Na nafikiri kuna maeneo ni lazima fikira zipite maana lasivyo zambi zitatendeka kweli au tu hukawii kujikuta umepigwa roba na wajanja mitaa fulani fulani .


@Mkuu CHIB: Mistari mara nyingi ndio msingi wa mahubiri yote ya saa nzima ya Padre!.:-)


@Swahili Street: Ntajaribu! :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP