Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kabla MATATIZO ya MWAKA JANA hayajajirudia tena MWAKA HUU!:-(

>> Sunday, January 03, 2010

Swali:

  • Kama ulikuwa na tatizo mwaka jana UNAUHAKIKA UNAJUA kwa uhakika MWAKA JANA tatizo lilikuwa ni nini?


Lakini,.....



....KAMA HUBADILI ulivyokuwa au tu ULIVYOFANYA mwaka jana,...



..... nafikiri ni haki ya wapendao kulaumu WATU wengine ,....

.... KUKULAUMU ......



.....mpaka USIPOKUWA MJANJA WANAOKULAUMU unaweza kufikiri yao ya MWAKA JANA HAYAKUWA NA DOSARI na yalimchekesha YESU , Mohamedi, au tu KIMADA, hata kabla ya kuwafanya wajilaumu KITU waliokuzaa WAZAZI,...






...KWA kuwa LABDA NI KWELI .....



...kama hubadili ULIVYOFANYA mwaka jana , LABDA usitegemee sana MWAKA HUU kwa kuwa CHEUSI DAWA hupendi ulivyo kuwa mweusi mwaka jana basi kwa staili ileile ya MWAKA JANA ambayo mkorogo HAUKUKUCHUBUA SURA itakuchubua SURA MWAKA HUU.:-(







Na kwa BAHATI MBAYA,...

... haki ya nani tena LABDA ULIVYOFANYA mwaka jana MPENZI CHEUSI DAWA ambavyo HAVIKUZAA MATUNDA mwaka jana ,...






.. ni staili ileile IFANIKISHAYO VITU MWAKA HUU ambayo uliwahi tu KUIFANYA mwaka mmoja MZIMA kabla ya SHUGHULI ITAKIWAVYO KUFANYWA ,......


....na ukifanya vilevile vya MWAKA JANA, mwaka HUU italipa kweli mwaka huu hata kama MWAKA HUU cheusi dawa NIA YAKO sio TENA kujichubua sura kwa kuwa umeshastukia kuwa unalipa hivyohivyo ulivyo na BONGE LA MWANYA ambalo ulikuwa unafikiri limekaa kama PENGO mwaka jana ila umestukia KWELI KABISA KAMA NYOKO MWAKA HUU kuwa hilo ni MWANYA tokea enzi kama tu ILIVYO mwaka HUU.:-(




Swali:

  • Si unakumbuka MAJARIBIO ya mwaka jana ya KUFANIKIWA yaliyoshindwa haina maana katika yale majaribio ya MWAKA JANA kuna kitu ulikuwa UNAKOSEA?

  • SI unajua ukijaribu kama mwaka jana labda MWAKA huu ndio utafanikiwa kupata hata kinamna uhangaikiacho labda katika PENZI kina UKIMWI?

  • Unauhakika uhangaikiacho kufanikisha KIKIFANIKIWA huo hauta kuwa mwanzo wakustukia ndio kwanza inabidi uanze swala zima la uhangaikaji UPYA?:-(



NI WAZO TU HILI Mkuu na haki ya nani USIKONDE!:-(












Ngojea FLOETRY wadai katika mtongozo -SAY YES

Tantra Zawadi afikirishe.....



Tantra ZAWADI arudie kumuongelea- GIRL



Au tu twende tena GUADELOUPE ili FUCKLY arudie kitu -DOUDOU





Au tu ni kuache na Baadhi ya PICHA za kabla na BAADA ya MWAKA 2009 kitakatifu....


Photobucket




Photobucket



Photobucket




Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket





Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket











Photobucket





Photobucket






Photobucket





Photobucket





Photobucket





Photobucket




Photobucket





Photobucket





Photobucket





Photobucket





Photobucket




Photobucket




Photobucket





Photobucket





Photobucket




Photobucket




Photobucket





Photobucket





Photobucket




Photobucket





Photobucket




Photobucket





Photobucket



Photobucket



Photobucket










Photobucket



Photobucket





Photobucket




Photobucket



Photobucket



Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket




Photobucket



Photobucket





Photobucket




Photobucket



Photobucket

5 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 5:26 pm  

Ahsante kwa picha nzuri za aina mbalimbali na inaonekana katika kuumaliza mwaka ulikuwa na wakati murwwaaaaa!!!:-)

Simon Kitururu 5:00 am  

@Da Yasinta: Hakukukua na chochote cha zaidi! Matatizo matupu ya kama kawaida tu!:-(

Chacha o'Wambura a.k.a Ng'wanambiti! 10:55 am  

@yasinta na Mt Simon: tatizo nnaloliona ni baridi hiyo! kwa mbegu zangu za kipadre waweza kuta hao wote alonao (wadada) Mt simon wanapata mimba bila kuingia kunako kwa sababu eti kuna baridi hasa wakati wa kumbatio :-)

Mzee wa Taratibu 3:02 pm  

Mabeli dansa mpaka ulaya wapo kumbe halafu Simon nakuona hapo upo hoi bin taaban bin kuchoka yani.

Simon Kitururu 6:12 pm  

@Kadinali Chacha Ng'wanambiti: DUH!

@Mzee wa Taratibu: Mabeli dansa wapo. Ni kweli fulu kuchoka Mkuu!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP