WAKATI unaendelea KUCHAGUA cha kustukia na CHA KULAUMU!
>> Thursday, May 14, 2009
Kizuri na cha maana mara  kenda kadhaa huwa HAKIONEKANI na wala HAKISIFIWI!
Na,...
.... UTAGUNDULIKA  kirahisi uko HAI  kwa kukosea na sio kupatia!:-(
Na kwa unafiki wa BIN-ADAMU,...
... kuna  watakao kushangaa  kwanini  UNATUKANA wakati  kwa kuongea kilokole na ukiongelea korosho na magimbi  waliovaa raizoni hawakustukii  UPO  na wanakunyima mpaka sehemu za faragha na  angalau wanageuka  ukiwatukana na  ukiachia msonyo!:-(
Swali:
- Unauhakika kweli na sababu zako za kutukana uzifichazo nyuma ya vihasira vyako vilivyokonda?
- Unauhakika huwaruki wafanyao mazuri na kustukia wakoseao na wewe ni mmoja wa waliosababisha TAARIFA ZA HABARI zimejaa mambo mabaya ambayo huitwa NEWS?
Na kuna uwezekana hata hapa unaendelea kusoma ili uone kama ntatukana , na kama ungekuwa na uhakika niandikacho ni mahubiri ungesha hama kwa kisingizio fulani bashasha kama vile '' NAKUBOA''.
LIONE VILE!
Na NAACHA TOPIKI umeniudhi!:-(
Ngojea basi tena DANY ENGOBO azungumzie-FRANCHA...
Au tu tutulize hali ya hewa kwa kuwaachia MAKOMA wamrudishe mtu kanisani kwa kibao- Ola OLE
 
  
 Posts
Posts
 
 




2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:
Kweli hata mimi umeniudhi:-( Simon kazi kwelikweli!
@Yasinta! :-(
Post a Comment