Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa kuwa DAWA YA TUMBO si lazima inatibu KICHWA!:-(

>> Saturday, December 11, 2010

Kwa hiyo LABDA,...
..... tiba ya MDADI,...
... sio kukandwa hata KIJEMADARI na asiye kupandisha MDADI!:-(



Swali:

  • AU?

Ndio,...
... lakini bado labda kama TIBA ya KUIOKOA TANZANIA KIUCHUMI ilihitaji Rais KAMBONA na sio Rais NYERERE wakati wa uhuru ,...
....labda bado Rais KARUME angetatua swala zima la WATANGANYIKA BARA kujua TV za rangi enzi hizo NI NINI mapema .:-(

Swali jingine:
  • SI nasikia SI LAZIMA kuwe na DAWA MBILI tu wakati matatizo mengine ni DAWA YA TATU ndio tibabu kama tu jinsi mtoto wa kike aliyeanza kugundua SUMAKU ya wanaume awezavyo kutibu maswali kuwa hivi ni kweli sehemu sehemu zake za kike zinatosha kwa mapana na urefu kutulia na LIJONGOO la LIVULANA kutoka kwa HAUSIGELI kuliko kupata matibabu ya UDADISI huo kwa dawa iitwayo MAMA au BABA?


Ndio,...
..WAZO hili LIMEPINDA!:-(
Kwani wewe ulitegemea nini?:-(
JUMAMOSI NJEMA MHESHIMIWA!



Hebu ghafla Chriss Rea aharibu kwa -Driving HOME for X-MASS




D'angelo arudishe ustaarabu kwa -SHIT , damn, MOTHERFUCKER



Au tu D'angelo alainishe zaidi tena  kwa -Brown Sugar

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mzee wa Changamoto 6:26 am  

Duh!!

Rachel Siwa 11:03 am  

mhhhhhhhhhhhhhhhh,naendelea kusoma zaidi!

Yasinta Ngonyani 5:31 pm  

kaazi kwelikweli hapa:-(

Simon Kitururu 1:18 pm  

@Wote:Mmmmh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP