Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

FURAHA!

>> Tuesday, April 07, 2009

Ni mchanganyiko wa kemikali UBONGONI ukuambiao UNAFURAHA na kikufurahishacho ni katalisti tu a.k.a kichocheo, kisaidiacho ubongo kukushawishi kuwa UNAFURAHA.

Na kwa kawaida Homoni , Nevu,....- mwilini , husahaulika katika mchango wake katika kufanya kikufurahishacho kikufanye UNAFURAHA.:-(

Na kwa kuwa tunafurahia FURAHA bila kutafakari ni nini HASA kiko kwenye kitufurahishacho kwenye FURAHA,...
... daima kitaadimika hiki kitu FURAHA!



NAWAZA tu usistuke!
Swali:
  • AU?
  • Unafuraha?

Au pata WORD OF WISDOM ya kinamna kama unamoyo....


ASANTENI Ndugu, jamaa , marafiki pamoja na MAADUI!

Asanteni sana wadau wote ambao wengine ni hawa kwenye picha nilizodakwa na kudaka juzi ya jana ya juzi.......


Photobucket

Photobucket

Photobucket



Photobucket

Photobucket




Photobucket





Photobucket


Photobucket



Photobucket



Photobucket


Photobucket






Photobucket


Photobucket



Photobucket


Photobucket


Photobucket


Photobucket



Photobucket


Photobucket



Photobucket


Photobucket



Photobucket






Photobucket

Photobucket

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP