Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

NIVULIE CHUPI!:-(

>> Wednesday, April 01, 2009

KUNA sababu kwa nini SENTENSI ''NIVULIE SHATI'' haina mvuto kwa MTU FULANI kama sentensi ''NIVULIE CHUPI'' ingawa kwa KIISLAMU kitovu kikionekana nje au MAGOTI yakishuhudiwa bila kufichwa na BICHI KOMA, basi wewe OFISHALE uko UCHI!


NA,..
....KATIKA SIMULIZI za uvivu na kama jinsia inafaa kibandiko AU ombi LA;........NIVULIE CHUPI kuna uwezekano una CHUPI ndiomaana unataka kuhakikisha kama ni kweli naongelea CHUPI!:-(

Ngojea nijaribu kulalamika katika mistari HAFIFU ya...... kuangalia sentensi ''NIVULIE CHUPI!''

..................................................................................________________.....



VUA nione!
UKIVAA ni mwanzo wakuIchafua CHUPI KUBWA uliyoIvalisha matako madogo, ....
......UNAJUA?



CHAFUA tuone!
KUFICHA uchafu ni juhudi ya wajifanyao wasafi ,...
....wewe UNAJUA?



UKIMVULIA yeyote labda UNATAKA akuone!
LIPO hilo na labda unahitajika kujua ipo, ...
...UNAJUA?


USIPOJIVUA labda bado umevuliwa na huoni kabla hujavua uvuliwe UONE!
Lakini,...
.... UNAJUA?



WAKATI umevaa labda umevaa UONE!
UNAFIKIRI bado ukifunika,...
.... UTAJUA?

------------------------_______________----------------
Jaribu kusoma POINT of VIEW


NIMEACHA na ninawaza tu MHESHIMIWA usitishike usipoelewa My Point of VIEW!
SAMAHANI!

Swali:
  • AU?
  • Ushawahi kuomba maji au kuomba kuvuliwa hata SHATI katika dunia hii ikuogopeshayo kuomba kuulizia kushoto ni wapi ikiwa uko KUSHOTO?
  • Unauhakika uko KULIA?

Ngojea tupate mapenzi HAYA hasa YA katika kutokuwa naye leo usiku kwa msaada wa JUDY BOUCHER akinong'ona kuwa - CAN'T BE WITH U TONIGHT..

AU tuendelee kwa kwenda HAITI kukutana na T-VICE aseme -Pou Janm Pale..

6 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Koero Mkundi 6:07 am  

Nani akuvulie chupi Kitururu!!!!????

Simon Kitururu 7:03 am  

@Dada Koero: Sijui!:-(

Anonymous 7:44 am  

Mkuu simon.

POLITRIX.

AMANI KAKA

RASTA HAPA.

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 10:23 am  

mvuaji. sjui kama hakuna mwenye uzoefu wa kuvua chupi. wengi ni wazoefu ehe?

Anonymous 5:08 pm  

Wewe "Simon",

He he he he he he heeee, kumbe hujaacha utundu wako?

Ndiyo maana unasubiriwa na ustokee? Sisi bado tupo!!!

It's Great To Be Black=Blackmannen

Simon Kitururu 2:18 am  

@Rasta: POLITRIX indeed!:-(
@Mheshimiwa Kamala: DUH!
@Blackmannen: Nakuja nitawasiliana nawe hivi soon!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP