Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

WAKATI tunaishi KATIKA jamii ya WAOGOPAO kujulikana WANAONGEA UJINGA!

>> Wednesday, April 01, 2009

Kuongea ujinga hakupo PWEKE ingawa jamii ya WENYE BUSARA hujifanya KUMSHANGAA aongeaye UJINGA.

Tatizo ni kama ,....
... wafikiriao wanasoma au kusikiliza UJINGA hawafikiriii kwa nini wanafikiri wasomacho au KUSIKILIZA ni UJINGA.

Swali:

  • Ushawahi kufikiria ni vigezo gani vifanyavyo UJINGA ujulikane kuwa ni UJINGA?
  • Unauhakika uko huru kujulikana KUWA huwa unaongea UJINGA?

Nimeacha!

Tulia na Ochestra Super Mazembe katika - SHAURI YAKO

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP