Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KWA JINA la PAPA MTAKATIFU BENEDICT wa XVI, usitumie KONDOMU!

>> Wednesday, April 01, 2009

Dini NI nzuri kwa sababu inatusaidia kutofikiria SANA katika DUNIA HII ihitajio KUFIKIRI KUBWA KULIKO kwa kutufariji kwa kutupatia WALE tuambiwao kuwa YAO ni KWELI na UKIAMINI ni KWELIKWELI. :-(

Unaweza kumbishia Mtakatifu SIMON KITURURU kwa sababu hujaambiwa au KUFUNDISHWA na umuaminiye kuwa SIMON KITURURU ni MTAKATIFU na anabikira ya TONGOTONGO.

Lakini labda,...
...kwa jina la Papa MTAKATIFU asiye wa Kikatoliki au wa KINZABANGA Simon KITURURU, katika dini yake ukiifuata anaweza akawa anasema ukweli wakitakatifu kuwa UKIPEKECHA,...

.....huwa inapata JOTO katika MPEKECHO.

Swali:
  • AU?
  • Kwa wakuulizao au kukushauri jinsi ya kutumia KONDOMU, unauhakika wanajua staili yako ya KUDINDA?
Jikumbushe What the Pope DO
  • Unauhakika naweza kukushauri jinsi ya kutumia jiko la kuni wakati sijui kukata kuni wala jiko la kuni?

SIKUBISHIII!:-(

Lakini,...
... kabla hujachapwa KIBAO kama RAIS MWINYI kwenye maulidi kwa kushauri watu wavae SOKSI,....
Swali:
  • UNAJUA sababu za ukiwa na GOVI unadaka MDUDU na kumehakikishwa kisayansi unadaka ZAIDI KULIKO ukila bila KIFUNIKA KITUNGUU? Kongoli CIRCUMCISION vs AIDS
  • Unauhakika matumizi ya kondomu ni yako kama hudindishi kidindacho kwa manufaa ya KIDINDACHO kuhifadhiwa kwa muda kwenye hifadhi-KIPENYO kama unadinda?

SIKUBISHI kama wewe nimsikilizaji wawasio tumia koroboi wakufundishao kutafuta MBU wako wapi na koroboi!:-(

JINYIME TU kumkojolea kama unauwezo wa kujikojolea!
DUH!

Swali:
  • AU?
  • Nani kakuambia kuwa kuna akojoaye wakati BADO hakuna ateteaye mharisho hata wa KIPINDUPINDU ufananao na maji ya mchelemchele kuwa ni mkojo kwa sababu za kufanana rangi na mkojo kwa sababu za ujasiri wake wa KUPITIA njia ya mkato ya nyuma??
NIMEACHA!
NAwaZA tu MKUU na samahani kama ninakukwaza wewe MSTAARABU ujuaye kuchagua yakuongea HADHARANI!:-(

Tutulie kwa kwenda SOUTH AFRICA kupata tena AFROPOP na NANA COYOTE..


Au twende tu Rwanda kwa MWANADADA nimzimiaye arudishe kiswahili katika bomba la wimbo ...sikilizia basi SOMI aongelee -INGELE

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Koero Mkundi 6:08 am  

Hii nilikuwa sijaisoma.....

Simon Kitururu 7:05 am  

@Dada Koero:Duh!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP