Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

BINADAMU katika kuusingizia MOYO ya KICHWA!

>> Tuesday, June 16, 2009

Ukweli ni kwamba YA MOYONI yako KICHWANI,...
...ingawa kuna WADAIO kukupenda kwa MOYO WOTE!


Ya kichwani bila aibu HUSINGIZIWA hata ROHO,...
.... na YAAMULIWAYO na KICHWA huhukumiwa hata roho kwa roho kusingiziwa eti ni ROHO MBAYA.


Na WOGA wa MAAMUZI ya KICHWA,...
... kuna adaie kuna wasio na MOYO kwa KISA cha kushindwa kutekeleza yaliyo MUKICHWA.


NDIO!
Kustukia MAUMIVU au hata UTAMU ni kazi ya UBONGO mukichwa na hakuna kitu kiitwacho MOYO UNAUMA.


Na kwa kutumia KICHWA ,...
....YA MOYONI kama vile PENZI na IMANI yanaweza YASIELEWEKE na YASIYOELEWEKA kichwa huyasakizia au kuusingizia MOYO.


NDIO!
Ujinga wa YA MOYONI bado ni UJINGA wa ya KICHWA!


Na daima ni KICHWA kiusingiziao MOYO ya KICHWA!:-(

Na ni kichwa kiamuacho lini moyo uache KUDUNDA, na ukiacha kudunda hakuna TENA ya KICHWA!:-(


Ni wazo tu KINGUNGE na NINEACHA!

Swali:
  • Unafikiri ROHO inaishi wapi ndani yako?
Ngojea IMAGINATION wadai-JUST AN ILLUSION


Au tu nimuachie JAMES BROWN

3 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 4:09 pm  

Ni kweli usemayo. Hongera kwa kuwaza!!!!

chib 6:09 pm  

Mimi nafikiri roho haipo, ni imagination tu baada ya watu kushindwa kung'amua uhalisi wa utashi wa mtu unatokea wapi

Simon Kitururu 7:39 am  

@Yasinta : LABDA!:-(
@Chib: Kwa sentensi moja tu umefanikiwa kuzima hoja na imani za watu kibao!:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP