Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

JINSI ya kumuibia MJANJA!

>> Monday, June 29, 2009

CHAMSINGI,...
...mfanye AAMINI unaamini kuwa yeye MJANJA!

Swali:

  • AU?
Kumbuka kutofautisha kuiba na KUPORA,....
...... na uwezekano wa kubwengwa ukidakwa kwa kukosea staili ya kumuibia MJANJA.


Nalikatizia hili WAZO hapa kwanza labda halikufundishi kitu kama wewe sio MWIZI!:-(

JUMATATU njema KIJEBA na ikiwezekana USIIBE nasikia ni DHAMBI!


Au turudi KENYA Safari SOUND BAND wakumbushe- MAMA LEA MTOTO WANGU..


Au tu GREGORY ISAACS abadili kwa -Love is OVERDUE..

7 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 1:03 pm  

Simon una mpango wa kumuibia nani?:-)

Simon Kitururu 1:06 pm  

@Yasinta: Nampango wa kumuibia shetani ! Si nasikia shetani ndio amilikiye ya kidunia?

Yasinta Ngonyani 1:19 pm  

Sikujua hilo kumbe basi nakutakia uibaji mwema lol

chib 6:09 pm  

Mbavu sina......

Anonymous 7:37 pm  

Kama vile ya Jumuwata...ujanja.


Rasta hapa.

Mzee wa Changamoto 1:13 am  

Ushafunza tayari. Lolllll

Simon Kitururu 11:53 am  

@Chib: :-)

@Rasta: DUH!

@Papaa MUBELWA BANDIO : :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP