Monday, June 29, 2009

JINSI ya kumuibia MJANJA!

CHAMSINGI,...
...mfanye AAMINI unaamini kuwa yeye MJANJA!

Swali:

  • AU?
Kumbuka kutofautisha kuiba na KUPORA,....
...... na uwezekano wa kubwengwa ukidakwa kwa kukosea staili ya kumuibia MJANJA.


Nalikatizia hili WAZO hapa kwanza labda halikufundishi kitu kama wewe sio MWIZI!:-(

JUMATATU njema KIJEBA na ikiwezekana USIIBE nasikia ni DHAMBI!


Au turudi KENYA Safari SOUND BAND wakumbushe- MAMA LEA MTOTO WANGU..


Au tu GREGORY ISAACS abadili kwa -Love is OVERDUE..

7 kommenttia:

SIMON KITURURU said...

@Yasinta: Nampango wa kumuibia shetani ! Si nasikia shetani ndio amilikiye ya kidunia?

Mzee wa Changamoto said...

Ushafunza tayari. Lolllll

SIMON KITURURU said...

@Chib: :-)

@Rasta: DUH!

@Papaa MUBELWA BANDIO : :-)

Yasinta Ngonyani said...

Sikujua hilo kumbe basi nakutakia uibaji mwema lol

Yasinta Ngonyani said...

Simon una mpango wa kumuibia nani?:-)

Anonymous said...

Kama vile ya Jumuwata...ujanja.


Rasta hapa.

chib said...

Mbavu sina......