Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kuhusu MARUDIO ya HAMU!

>> Wednesday, June 17, 2009

Kwa KURUDIA kuwa na HAMU ya KITU si lazima safari hii UTAKIDHI HAMU.

Na huwezi kujilazimisha uwe na HAMU na ni kweli kuna hamu hazijirudii kama tu ile hamu ya KUCHOMWA na MIIBA , kuumwa na SIAFU au ile ya maumivu ya LIMTU ulipendalo kukuacha SOLEMBA na Limtu jingine!:-(



Binadamu ni MWEPESI kusahau na kumbuka hilo ukiisahau HAMU,...
....NA ndio maana ALIYEKUWA ANALIA JANA unaweza kukutananaye LEO anacheka ile balaa ingawa ni kweli ana meno kama NGIRI.

Na usidanganyike kwa kuwa labda umeshiba sasa hivi ukafikiri UMETIBU hamu ya KULA hapo baadaye .:-(

Kumbuka,...
.... HAMU ni MALAYA na ukiwa na WALI na MAHARAGE sasa HIVI kunauwezekano unajitengenezea mazingira ya kuwa na HAMU YA UGALI kwa CHUNGA.

Swali:

  • AU?
NI moja ya wazo tu Kingunge na NIMEACHA!


Hebu twende tena Reunion tupate Afrofusion kutoka kwa Granmoun Lele aongelee - Soleye


Au tu Jamie Foxx na Timbaland wabadili hali ya hewa katika -I don't need it

5 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 8:09 am  

ama HAMU ya kunanilihiwa na haya mambo ya kidotcom.!
Nimeacha.

Yasinta Ngonyani 8:20 am  

HAMU:-(

chib 2:09 pm  

Kiburudisho murua kutoka Re-Union

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 5:12 pm  

maweeee

Simon Kitururu 5:02 am  

@Dr CHIB na Kamala: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP