Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Inaumiza UKINYIMWA uliyotegemea.:-(

>> Saturday, June 13, 2009

Inaumiza roho UKITEGEMEA halafu USIPEWE!:-(


Na,...
... INAUMIZA kama ADHABU ,....

............ingawa HIYOHIYO adhabu ikiitwa ZOEZI kuna wengi watakaoifanya kwa furaha na wengine mpaka wataota- SIKSIPAKI juu ya mavuzi.:-(

Na labda WATAKAOUMIA ZAIDI ni kama wale,...
.... wadhaniao INAUMA au KUJILAUMU zaidi kwa kufikiria kama WAFIKIRIAO wataenda MBINGUNI halafu labda baadaye kidogo baada ya kufa wakajikuta JEHANAMU.:-(





LAKINI labda Ni kweli,...
... inaumiza KAMA KUBWA kama tu IUMIZAVYO roho , moyo na mwili ,kwa juhudi IKIPWAYA kwa UKUBWA.

Ni kweli labda,...
......INAUMIZA!

Swali:
  • Kama wewe ni muombaji MUNGU hujawahi kuhisi kunyimwa na MUNGU hata baada ya bomba la sala?
NAACHA wazo na kama nakukwaza niombee au TUBU kivyako chobisi uende PEPONI!

Ngojea Lenny Kravitz anisaidie wimbo uitwao- Many Rivers to Cross

Au to nimuachie aliye utunga wimbo JIMMY CLIFF arudie wimbo- Many Rivers to Cross..

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 1:45 pm  

Simon kazi po kweli pole sana:-(

Simon Kitururu 11:04 am  

:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP