Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa BINGWA muanzisha UCHOCHORO!

>> Wednesday, June 10, 2009

Twajua DUNIANI asilimia kubwa ni WAFUTA zilizosha-tengenezwa NJIA,...
.....VICHAKANI kwao hakupitiki ,kwao vichakani HAKUNA NJIA!

NA WATASIFIANA kwa ubingwa wakuwahi kufika kwa umahiri WAKUFUATA NJIA,...
......HUKU WAKIMTUKANA aliyeanzisha hiyo njia KWA KUSAHAU nani alianzisha NJIA!


NA aanzishaye UCHOCHORO si MAARUFU kwa wadhaniao wanajua njia kwa kufuata NJIA,...
.....WAKATI labda UCHOCHORO badaaye ndio utakuwa NJIA!


NA asiyejali HUMDHARAU aanzishaye UCHOCHORO baada ya kumsahau hata ALIYEANZISHA NJIA.....
....MPAKA agunduapo UCHOCHORO ni njia ya MKATO kuliko njia.

ASANTE Bingwa muanzisha UCHOCHORO na yako naamini ndio NJIA!

Swali:
  • Wewe ni mfuata njia kwa kuwa umeambiwa hiyo ndio njia?
  • Unakumbuka labda ukichoshwa na makali ya njia labda ndio wewe mwenye uwezo wakuanzisha nyingine njia?


NAWAZA tu MKUU!
Ngojea twende New York SHY CHILD watupe- Drop the Phone



Au turudi tena Kameruni TOM YOMS na MAREHEMU CHARLOTTE Mbango waendeleze..-SENGAT TO

0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP