Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

KATIKA kukumbuka TOTO zuri LIKUTISHALO ni kweli NALO bado linaenda HAJA KUBWA a.k.a KWA lugha ya kisasa -KUNYA!!:-(

>> Sunday, June 28, 2009

Labda ni KWELI,...
...hakuna BINADAMU mjanja INGAWA kuna IDAIWAO ni WAJANJA.

Na kama kuna UJANJA,...
...basi MJANJA hajazaliwa:-(

Na kama unadhani WEWE ni mjanja,..
... jaribu kuhairisha KUNYA ukibanwa TUONE.[samahani kwa matumizi ya lugha ya faragha!:-(]


Swali :

  • Unafikiri akutishaye anakutisha nini ikiwa kila BINADAMU unajua ni SPESHO?

NAACHA wazo na samahani kwa WAZO hili hapa MAWAZONI Bingwa, NA KATIKA HILO kumbuka hili ni wazo tu KIJEBA!:-(
Kwa mara nyingine JUMAPILI njema BINGWA!

Ngojea Jermaine JACKSON adai...-Do What You Do


Au tu Jermaine Jackson adai tena-Sweetest sweetest

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP