Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

UMAARUFU wa asiye MAARUFU wakati anadhani ni MAARUFU, na hata ukimsikiliza labda kanogewa kabisaaa na adhaniavyo ni MAARUFU:-(

>> Tuesday, June 02, 2009

Wadhaniao ni maarufu labda kuna mtu KAWASIFIA!

Na ni kweli baadhi ya sifa watu wakusifiavyo ni UONGO.:-(

Na ni kweli kuna watu wanapenda sifa kwahio ukiwasifia kuhusu titi wanasahau kuwa kabla hujagundua ukubwa wa titi LABDA uligundua mtoto mzuri HUYOHUYO tako lake moja limekonda:-(

Na ni kweli MTU asifiwaye kirahisi anaweza kuanza kuamini MAKENGEZA ni KUREMBUA.


Swali

  • AU?
NAACHA wazo!:-(
Au tu Sade anisaidie kupitisha siku kwa kuongelea mwiko -Sweetest Taboo



Au tu KASSAV waendelee kunisaidia katika-Zouk La Ce Sel Medicament Nou Ni

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Yasinta Ngonyani 11:06 am  

Hapa kuna kitu nimejifunza!

Simon Kitururu 4:59 pm  

@Yasinta: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP