Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

HADITHI hii nimefundishwa na MALAYA!:-(

>> Sunday, June 21, 2009

KATIKA fundisho kumbe ni kweli,.....
.....UNAWEZA kulipia kupewa hata GONO kama tu ununuavyo viazi VITAMU.:-(

Na,...
...
mpaka konokono wanafanya ngono na kama wewe unafanya matusi/MAPENZI kwa mwingine hiyo ni NGONO tu:-(

Na ,...
.....MALAYA ni mtoto wa mtu na inawezekana ni ndugu yako au ni mtoto wa mheshimiwa kama wazazi wako kama SIO MTOTO WAKO na labda uwepo wake duniani ni matokeo ya NGONO tu.:-(

Na,...
..... si lazima ujilazimishe kupata dhambi ingawa unafanya dhambi nyingine kwa kuwa unajua ni dhambi na NONO.:-(

Na,...
..... MALAYA ni kwa wengine kama kwako unaamini ni wako na UKO NAYE na PIA ni MNONO.

Swali:

  • AU?

DUH !
Naacha wazo MHESHIMIWA na samahani kwa kukupotezea MUDA kwa kunisoma NA labda badala ya kunisoma sasa hivi HAPA ungekuwa uko chooni UKIFANIKISHA!:-(

Swali:
  • AU?
  • Unauhakika malaya ni malaya na sio ni FIKIRA ZAKO TU kwa kuwa UNASHINDWA KUTOFAUTISHA ugawaji wake MALAYA na HURUMA au unauchanganya TU na kuwa kwake na roho NZURI ya KUGAWA nanihii?


NAACHA!

Hebu tupitie tena MALAWI tukutane na Fuggie Kasipa + Njati Njedede walete za - Ukanene



Au tupitie tu tena ZAMBIA Angela Nyirenda aburudishe kwa - Ngoma

4 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 7:51 am  

Duh.! Dunia..!

Simon Kitururu 8:58 am  

@Papaa Fadhy: Si utani!:-(

Mzee wa Changamoto 1:58 am  

Mmhhhhhhhhhhh!!

Simon Kitururu 9:05 am  

@Mubelwa: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP