Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Kwa BAHATI MBAYA ni KWELI upumbavu UNAVUTIA!

>> Sunday, June 14, 2009

Unaweza kubisha,..
... LAKINI asilimia kubwa ya WATU huvutiwa zaidi na UPUMBAVU!

Kinamna fulani ,...
... asilimia kubwa ya watu hufikiria UPUMBAVU ni rahisi KUUELEWA kuliko KINYUME cha UPUMBAVU!


Na hata kwa wadaio wanajua KUSOMA,...
... asilimia kubwa watakiri hupendelea kusoma UPUMBAVU kuliko kidaichwacho kuleta MAANA.

Swali:

  • Kwani hujawahi kustukia asilimia kubwa ya wajuao kusoma hupendelea kusoma udaku na sio Korani au BIBLIA?

Cha ajabu ni KWELI wengi wadaiwao kuwa ni wenye BUSARA bado hawana jibu ni kwanini BINADAMU wenye akili hawatumii akili!

Na kwa bahati MBAYA ni kweli,..
... BINADAMU WENYE akili wakitumia AKILI wanaweza KUSTUKIA kuwa wanaweza kujifunza kutoka katika UPUMBAVU kama wanastukia ni UPUMBAVU!

Na ni kweli,...
.... USIPOUSTUKIA upumbavu unaweza kujikuta umekuwa PUMBAFU!:-(

Na ni KWELI,...
....UPUMBAVU ni MTAMU na ni ADDICTIVE kama wadaivyo wanao bonga UNG'ENG'E!:-(
Swali:
  • Kwani ni KWELI upumbavu hauleti maana?

Ngojea NILIKATISHE wazo!


Au ngojea NYERERE aongee ambacho kuna anayeweza kumbishia kwa swala hilo hilo aongelealo...



AU tujikumbushe kuhusu IDI AMINI kwa mtazamo wa watu fulani ambao kwa bahati mbaya hawezi tena KUJITETEA...

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

chib 2:10 pm  

Upumbavu kuvutia, hiyo kali..

Simon Kitururu 4:20 am  

:-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP