Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

Ufasaha na UMAHIRI wa MTOTO MZURI mwenye SURA MBAYA na LABDA kavaa kama tu alivyoanzishiwa KUVALISHWA chupi nzuri HALAFU SAFI!

>> Monday, June 15, 2009

KATIKA dunia HII yenye WAPENDA SURA NZURI ,...
.... wenye SURA MBAYA wengi hutambuliwa kwa zao JUHUDI za vitu vyenye SURA NZURI.

Swali:

  • Unauhakika ni nani mwenye sura nzuri?
  • Ni kweli unataka mpaka kujua ukweli kuwa ni UKWELI hata kuna KINYEO chenye sura mbaya kwa mtazamaji?

Kwa juhudi unaweza usistukiwe kuwa sehemu zako za siri zina SURA MBAYA kwa kuwa kwa juhudi zako wewe ni TAJIRI na katika utajiri wako baadhi ya MATUNDA YA LA KIJINGA likufanikishalo ULE KINGI , ni lile UFANYALO lisababishalo JUHUDI ZAKO zitambulike kwa HATA WASIO WAJINGA , ...
....na labda likutambulishalo NI JINSI UJUAVYO KUHONGA hasa KWA BILA , ....
......bila kujulikana unahonga kwa wakupao KIKOJOLEO,nyuma ya kikojoleo , chuchu ,NA labda hata MAANDAZI PIA kabla hujapewa KIDUDE maeneo!:-(


Na LABDA ni kweli,....
... INASEMEKANA kuwa ni KWELI kama unatafuta waishio kwa kutegemea SURA ZAO, ...
...JAMII IITAZO NZURI na unataka USITAFUTE, ....
... tembelea shule za waliofeli au tafuta sehemu rahisi zipendelewazo na WASIOFIKIRI au TU pale uhisipo kuna WAJINGA a.k.a WAVIVU wa MHANGAIKO kwa kuwa sura inauzika hata kwa HEDIMASTA.:-(
Swali:
  • AU?

Na kumbuka,...
.... JIHAMI na MTOTO MZURI uaminiye ANAAKILI kwa kuwa kwa kumuangalia huoni kasoro ZAKE ,....
.....na hujui hata UMAHIRI wake wa kutumia NYETI na kinakufikirisha kwanini huoni kasoro ZAKE kwa kuwa labda HUONI KASORO KWA KUWA MJANJA labda HUJUI KASORO ZAKE KWA KUWA anakunya KITANDANI na wewe ni ALEJIKI na MAVI na hata SEBULENI KWAKE HUJAWAHI alikwa!:-(

NDIO!
........INASEMEKANA kirahisi JAMII iwaaminio ni wazuri bado HAO na wao husamehewa hata kama WANAKOJOA KITANDANI!:-(

Na,...
....INASEMEKANA kirahisi JAMII IWAAMINIO NI WAZURI huwapandisha hata CHEO ofisini kama tu KITANDANI , huwaSIKILIZA hata kwa yasioeleweka kama vile yao ya KUGUNA, na pia ni kweli wanaweza kusifiwa kwa USAFI WA CHOO ingawa choo chao bado KINANUKA na ungejua,...
..... labda ni kweli WANAKOSEA hata KUNYA!:-(

NDIO ,..
....ni kweli ukiamini kuna MTU MZURI ,...
....huyo anakuchezea MAZINGAOMBWE na ABRA kaDAbra YAKE labda inakufanya uweze kujikuta umeoa mpaka MTU anukaye UVUNGUNI kwa mnukio ufananao na MAITI YA SAMAKI kwa sana tu ,...
...kisa NI KWAMBATU huwa akikuchekea PUA yako HUZIBA ingawa unajua hata YEYE michezo ya BABA na MAMA yeye ni MTOTO MZURI na bado KATIKA SHUGHULI yeye ni MTOTO!:-(


Na ,...
.....LABDA inahitajika kuamini KUWA kama unaamini una SURA mbaya ni muhimu kwako kucheza mazingaombwe ya JUHUDI kwa kuwa KUWASAHAULISHA WATU yako NI sura MBAYA KWA IMANI,...
..... huhitaji JUHUDI kwa kuonyesha UBINGWA WAKO kwa kitu kingine hata ikiwa ni kwa TAALUMA yako ya KULAMBA PEREMENDE ili kusahaulisha WATU matumizi yako YASIYO MAHIRI katika ya KUSHUGHULIKA na PIPI KIJITI katika PIPI iliyo na LIJITI na yote ni ili UPENDEKE tu na ukweli ni kwamba HUPENDI PEREMENDE.:-(
Swali:
  • Unafikiri mtoto mzuri ukimzoea HUWA unakumbuka kuwa mwanzoni ulidhani uzuri wa MTOTO MZURI wake KWAKO MWANZONI ulikuwa ni SPESHO?


Nakatisha WAZO na kama nimekukwaza SAMAHANI KIBINDA NKOLE, Kadoda au weye Binti Khalufani!

Ngojea Shania Twain aongee katika-That don't IMPRESS ME MUCH


Au turudi tu TANZANIA Dr REMMY amzungumzie - Karola


2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Mzee wa Changamoto 5:16 am  

Mawazo mawazoni. Lol
Yangu macho

Simon Kitururu 7:40 am  

@Mubelwa: :-)

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP