Monday, June 15, 2009

UNAKUMBUKA katika yote uliyowahi KUJIFUNZA moja wapo ni JINSI ya KUVAA CHUPI a.k.a KIFICHA NYETI?

Na ni kweli,...
...... HUTUKANI kama HUKUJIFUNZA tusi NI NINI!:-(

Na,..
...kuna MENGI unayoendelea KUJIFUNZA SASA HIVI ambayo hatuyajui na labda HUYAJUI kwa kuwa hayo si maarufu LEO kwa BINADAMU na yake bin-adamu ya KUJIFUNZA maeneo na jinsi ya kutumia ENEO!:-(


NDIO,...
...huhitaji KUJIFUNZA KUNYA ingawa ni kweli KUNYA huhitaji TAALUMA kama unataka KUNYA VIZURI .

Na....
.... ni kweli kama unahisi unapatia KITU ,...

...LABDA kuna KITU unafananisha nacho ambacho kwako ni MAFANIKIO ndio MAANA kwako hilo ni fanikio na kama hujui,...
....kumbuka hata KWA hilo ULIJIFUNZA!:-(


NA NI KWELI kwa bahati MBAYA,..
...hata UJITAHIDI VIPI,...
.... bado utakufa huku kuna KITU HUJUI!:-(


Samahani NAKATIZA wazo!:-(

Ngojea turudi ANGOLA SAVIMBI aongee nisichoelewa na nisikufiche napenda Kipochugali mpaka nishadeti Wabrazili kadhaa kwa kisa CHA kunogewa tu na WAONGEAVYO Kipochugali.:-(


Na ni kweli sijawahi deti Mpochugali wa Pochugali:-(
SAMAHANI kwa kujielezea kubwa kuliko katika swala la faragha na lisilo na UJUMBE mzuri hata kwa KIFARANGA.:-(

Huyu basi Savimbi adanganye wananchi kidogo kama afanyavyo KIKWETE kama naye hakujifunza kwa NYERERE....


Au tu LEADBELLY atusaidie kubadili hali ya hewa kwa ambacho bado sikielewi ingawa naelewa LUGHA katika...-Goodnight Irene



ASANTENI wadau WOTE na hasa ambao hamnitengi kama hawa waliopo kwenye picha zangu za JUUUUZZZZZI ya JAANA!:-(


Photobucket


Photobucket


Photobucket



Photobucket





Photobucket


Photobucket


Photobucket












Photobucket



Photobucket






Photobucket





Photobucket






Photobucket


Photobucket

4 kommenttia:

Yasinta Ngonyani said...

inaonekana ulikuwa na muda mzuri na pia una marafiki wengi. Safiii sanaaaa.

SIMON KITURURU said...

:-)

Egidio Ndabagoye said...

Mshikaji picha ya 5 toka juu aliharibu nini?

SIMON KITURURU said...

@Papaa Egdio: Nadhani ilikuwa maswala ya GIRL POWER tu!