Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

MCHANGO wa WAHUNI kwa TAIFA!

>> Sunday, June 07, 2009

Pamoja na WAHUNI kuwasaidia WENYE TABIA NZURI, Walokole, Ustadhi na.... WAHUNI kuna wawaDHARAUO!

Wahuni ni bomba mpaka wanaweza kukukumbusha kuwa wewe si MHUNI!:-(

Labda hata sababu zako za kujisikia vizuri leo ni msaada walioBUSTI wahuni mpaka unafikiri hujapotea halafu umepatia ingawa bado kicheko chako cha jana na usipoangalia labda hata cha leo ni cha KINAFIKI kwa kuwa MPAKA LEO unayemchekea hakuchekeshi lakini ukijichekesha we SI MHUNI kama ni tafsiri ya MAENEO.:-(


NA kuna UWEZEKANO mpaka MCHANGO wa PROFESA kama uliwahi kukutananaye ukawa UNAZIDISHA kukufanya uzidi kuwa BINGWA wa KUKARIRI bila KUELEWA wala kujua KUFIKIRIA kisa unataka jamii ikujue wewe si MHUNI na labda ukimbishia PROFESA kuna anayeweza kuhisi ufanyacho ni UHUNI!:-(



Na ni kweli kama wewe si MHUNI unaweza ukashangaa MCHANGO wa SHEKHE, ASKOFU, BABA na labda DADA YA SHANGAZI yule aliye tajiri kumzidi MAMA , inasemekana kuwabishia ni tabia mbaya na inawezekana kuwa watu wakaamini kwa hilo WEYE MHUNI!:-(

Kumbuka lakini kuwa,...
... UHUNI ni tafsiri BINAFSI kutokana na ulivyofundishwa au kujifundisha nini ni UHUNI!:-(

Nachojaribu ni kusema,..
... fikiria tena mchango wa uhisiye ni mhuni kama ukiruka kipengele kikufanyacho ufikirie UHUNI?
SWALI:

  • Umesahau kwa tafsiri fulani Rais KIKWETE na Auntie MUDI wote ni WAHUNI kama wanafiti kwa yako tafsiri?
  • Kwani kwako UHUNI ni NINI?
NI HILO tu kwa leo!

NAACHA na kumbuka ni moja tu ya WAZO hapa MAWAZONI!:-(

Nakutakia siku KIBONGE na MAFANIKIO JEMADARI!...

AU tu ni muache Marehemu aliyetutoka juzi ya jana kutoka Kameruni nizimiaye shughuli zake aitwaye CHARLOTTE MBANGO alete-KONKAI...

6 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Fadhy Mtanga 1:48 pm  

Kaaazi kweli kweli..!

Simon Kitururu 2:20 pm  

@Fadhy: Siutani!:-(

Yasinta Ngonyani 9:31 pm  

mhhh;-( nami nasema kaaaazi kwelikweli

Masangu Matondo Nzuzullima (MMN) 5:24 am  

Miaka ile ya zidumu fikra sahihi za nanihii, wote waliojaribu kulipinga tabaka la wenye "vijisenti" wakati ule waliitwa vibaraka na WAHUNI.

Ndiyo, ni kazi kweli kweli!

kamala Lutatinisibwa Lutabasibwa 6:43 pm  

maweeeee

nami nimo!!!! dud

Simon Kitururu 10:56 pm  

@Yasinta: Mmmh!
@Prof. :Si utani!

@Kamala: DUH!

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP