Friday, June 26, 2009

R.I.P Michael JACKSON!

Kwaheri Mkuu na Asante kwa muziki kama HUKO ULIKO unanisikia BINGWA!

Mie bado wako Mshabiki.

Ciao!






4 kommenttia:

Fadhy Mtanga said...

Buriani Michael Jackson,
hakika ulikuwa mfalme wa Pop.
Upumzike kwa amani.
Amina.

Yasinta Ngonyani said...

astarehe kwa amani peponi amina.

Mzee wa Taratibu said...

Kufa kufaana pesa si kitu jamani pesa ilimuharibu mwafrika mwenzetu kataka mambo asietaka mungu, Alichokupa mungu shukuru usimkaidishe sasa mungu kamchukua atajibu nini huko..!!??

Anonymous said...

AFRIKA HATUMTAMBUI.


RASTA HAPA.