Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

CCM OYEEE na chamoto TUNAKIONA!:-(

>> Tuesday, June 23, 2009

Hata utakekubisha,...
..... kama wewe ni Mtanzania unajua kuwa mpaka leo CCM inabomba la msuli ukilinganisha na UPINZANI.

Na kwa bahati mbaya,...
....
kwa muda wote huu chama hiki kinatawala kwa walio wengi hawajala KINGI.


Kwa bahati mbaya,...
..... hata wajanja kibao wanafikia kuamua kuwa WANACCM ili kuwa karibu na KINGI.

Swali:

  • Unabisha?

Kwa hiyo hata kama huipendi CCM,...
.... si vibaya kukiri kuwa kuna kitu wanapatia ndio maana katika STATISTIC zangu Mtakatifu Simon Kitururu ambazo sijazifanyia utafiti, ASILIMIA KUBWA YA WENYE nafuu TANZANIA ukichunguza ni WANACCM au wana uhusiano na CCM.

Swali :
  • Unabisha?


Kwa hiyo,....
.... utake usitake naweza kuwa sijakosea kwa kusema CCM OYEEE, ila zisidumu fikira za Mwenyekiti zenye mrengo wakutunyima KULA KINGI:-(


Swali:
  • Sijui Watanzania wote tujiunge na CCM kama ndio kwenye ulaji?(au unasemaje Bingwa!)
  • Kwani kuna sababu gani za kujiunga na CHAMA kingine kama ulaji uko CCM?
  • Hivi ni kweli unafikiri CCM ni CHAMA CHA MAPINDUZI?


Naacha, na kumbuka ni wazo tu KIBOSILE!
Haya basi VIVA CHADEMA!Viva CUF! Ila mnaulaji kwa wananchi wote CCM iwanyimao NANIHII?


Baadaye BASI!
Ngojea East African Melody wadai -UTAJIJU JIJI


0 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP