Mtakatifu SIMON KITURURU - MAWAZONI

FALSAFA na WAZO ndani ya neno - DUH!

SABABU za mlevi KUYUMBA!

>> Wednesday, June 24, 2009

NI kweli,....
.....Ujanja wa asimamaye au kutembea BILA KUYUMBA uko MASIKIONI na sio miguuni kama idhaniwavyo.


Ndio,...
...SIKIO kazi yake si KUSIKIA PEKEE kama unakumbuka HATA maswala ya balansi, bingwa ni SIKIO.

Hebu tujikumbushe BAOLOJI ya sikio kwa ndani katika NJONJOLINJO...

Semicircular canal















Exterior of labyrinth.














Inner ear illustration showing semicircular canal, hair cells, ampulla, cupula, vestibular nerve, & fluid


USITISHIKE,....
...... yote ni katika kukukumbusha kwa KUTEMBEA KWAKO KWA MARINGO kumbuka NI SIKIO linakusaidia kufanya hivyo NA SIO TAKO kama wewe kwa mwendo wako wa maringo huwa unatingisha tako!:-(


Halafu ni kweli,...
.... sababu kubwa ya Mlevi kuyumba ni kwamba KALEWA.

Swali:
  • AU?
  • Kwani wewe ulifikiri hadithi hii nitaisimulia kwa urefu gani?
  • Hivi sasa hivi sikio lako ukilichokonoa halina NTA ingawa sikioni mwako hakuna nyuki?

NAACHA wazo MKUU na NAKUTAKIA siku njema KINGUNGE katika libeneke!

LAKINI kama unamuda ngojea Waziri wa Utamaduni wa Brazili a.k.a Gilberto Gill atuburudishe tena kwa- Aquele Abraco

AU Ngojea tu tena Gilberto Gill adai -Waiting in Vain..

2 KOMENTI a.k.a Maoni. :-(:

chib 6:09 pm  

Kweli umewakumbusha watu bayolojia, lakini mwendo wa maringo sio..... :-)

Fadhy Mtanga 6:18 pm  

Duh mkuu! Watu walikuwa wanasepa class kipindi cha Bios kinapoanza.

Idumu Jumuiya Ya Wanablogu Tanzania


Photo Sharing and Video Hosting at Photobucket

Partner

save mt. Kenya campaign
In partnership with africapoint.com

Taswira BANANGENGE

  © Blogger templates Romantico by Ourblogtemplates.com 2008

Back to TOP